ah sikukuu lazima uje mujini bwana ujirushe na mbususu za mujiniSku hizi upo dar? Au umekuja skukuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ah sikukuu lazima uje mujini bwana ujirushe na mbususu za mujiniSku hizi upo dar? Au umekuja skukuu?
Mwalimu aliyekosa ajira Mpwayu gu the greatmaharage ya ukweni na maajabu yake
Atakuwa ni kocha wa timu ya KumamotoNaantombe Mushi hili jina asee huwa nachekaga tu.
Me ananiacha hoi alivyomalizia na hiyo abaabaabaa 😂😂Huwa nalisoma hili jina kwa melody ya wimbo wa prakatatumba🤣
[emoji2][emoji1][emoji2][emoji1] hatar saNa mkuu[emoji1787][emoji1787] Dah huyu atakuwa yule bibi wa niko "HOVESI"
Naantombe Mushi Jina la kike hili tulisoma nae huyuNaantombe Mushi hili jina asee huwa nachekaga tu.
Maana yake Embeng'ong'oOtorong'ong'o nimekuja kujua maana take nikacheka sana nilikuwa mitaa ya shirati.. Kina mwamba akanizoea sana kwahiyo kwa kunipamba akawa ananiita hivyo..
Nikamuuliza maana take kumbe ni nzuri tu
Duh kumbe ni jina halisiNaantombe Mushi Jina la kike hili tulisoma nae huyu
Mkuu hilo ni jina halisi sio masikhalaDuh kumbe ni jina halisi