Jina gani la utani huwa unamuita mpenzi wako linaloshangaza

Jina gani la utani huwa unamuita mpenzi wako linaloshangaza

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Njooni hapa wakuu utuambie jina unalomuita mpenzi wako ambalo watu wakisikia lazima washangaa

Uyu mpenzi wangu ni mzuri ana shape sura tabia tumekaa nae mahusianoni miaka miwili hili jina nilimpa baada ya kuona vyeti vyake vya O LEVEL and ADVANCE LEVEL akiwa na ufaulu mkubwa wa mathematics kuliko masomo mengine katika level zote ana A ya MATHEMATICS

Hivyo Nikamtunga jina ACADEMIC MASTER Huwa nikimuita anacheka sana sikutegemea kama anajua mathematics ivyo
 
Njooni hapa wakuu utuambie jina unalomuita mpenzi wako ambalo watu wakisikia lazima washangaa

Uyu mpenzi wangu ni mzuri ana shape sura tabia tumekaa nae mahusianoni miaka miwili hili jina nilimpa baada ya kuona vyeti vyake vya O LEVEL and ADVANCE LEVEL akiwa na ufaulu mkubwa wa mathematics kuliko masomo mengine katika level zote ana A ya MATHEMATICS

Hivyo Nikamtunga jina ACADEMIC MASTER Huwa nikimuita anacheka sana sikutegemea kama anajua mathematics ivyo
Kwahiyo calculus anasukuma? 😁
 
Njooni hapa wakuu utuambie jina unalomuita mpenzi wako ambalo watu wakisikia lazima washangaa

Uyu mpenzi wangu ni mzuri ana shape sura tabia tumekaa nae mahusianoni miaka miwili hili jina nilimpa baada ya kuona vyeti vyake vya O LEVEL and ADVANCE LEVEL akiwa na ufaulu mkubwa wa mathematics kuliko masomo mengine katika level zote ana A ya MATHEMATICS

Hivyo Nikamtunga jina ACADEMIC MASTER Huwa nikimuita anacheka sana sikutegemea kama anajua mathematics ivyo
IMG-20241207-WA0005.jpg
 
Njooni hapa wakuu utuambie jina unalomuita mpenzi wako ambalo watu wakisikia lazima washangaa

Uyu mpenzi wangu ni mzuri ana shape sura tabia tumekaa nae mahusianoni miaka miwili hili jina nilimpa baada ya kuona vyeti vyake vya O LEVEL and ADVANCE LEVEL akiwa na ufaulu mkubwa wa mathematics kuliko masomo mengine katika level zote ana A ya MATHEMATICS

Hivyo Nikamtunga jina ACADEMIC MASTER Huwa nikimuita anacheka sana sikutegemea kama anajua mathematics ivyo
Kasongo
 
Back
Top Bottom