Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sio ukweli wee una somjo nyingi sanaNdio ukweli lkn
Firstborn & lastborn tunaitana na kamanz flan nilikua namega kisela 😀Last born maana kanapenda kudeka na minuno ka yote
Aisee si ungeniambia tu una mpenzi ona sasa umeniumiza.Scofied.
Ila tangu scofied amesapoti Magay. Amekataa kabisa🤣🤣 . So tukiwa na makasiriko namuitaga my Scofied mtu anaanza kujiungurumisha 😂
Upokonywe simu 😹Kinaishia kwenye kibeans au sio?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣si ukweliUpokonywe simu 😹
🤣🤣🤣🤣🤣Bora unamwita kunguru...Kuna huyo dada nilisoma naye alikuwa mweusi tii!! tulikuwa tunamuita chungu alikuwa anakasirika balaa🤣akicheka yanaonekana meno tu!! ila class ndo alikuwa anakimbiza balaa..Kunguru ,huyu bibie ni mweusi jamani kama chungu kipya au tairi la baiskeli au pampu mpya .Ila ndio chaguo langu.
Ooooi.
Mliacha malezi kwa Hawa kina Lelo, mkajifungia na mbege tu meku.Wazee wa mbege tumekukosèa nini🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅 kila mtu apambane na hali yake mura😁Mliacha malezi kwa Hawa kina Lelo, mkajifungia na mbege tu meku.
🤣🤣Umukali wa hene(Strong lady) nitawanyoosha tata.🤣🤣🤣😅😅😅😅 kila mtu apambane na hali yake mura😁
Ngoja tusake maburungutu kwanza🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umukali wa hene(Strong lady) nitawanyoosha tata.🤣🤣🤣