Kwahiyo calculus anasukuma? 😁Njooni hapa wakuu utuambie jina unalomuita mpenzi wako ambalo watu wakisikia lazima washangaa
Uyu mpenzi wangu ni mzuri ana shape sura tabia tumekaa nae mahusianoni miaka miwili hili jina nilimpa baada ya kuona vyeti vyake vya O LEVEL and ADVANCE LEVEL akiwa na ufaulu mkubwa wa mathematics kuliko masomo mengine katika level zote ana A ya MATHEMATICS
Hivyo Nikamtunga jina ACADEMIC MASTER Huwa nikimuita anacheka sana sikutegemea kama anajua mathematics ivyo
Aje atuambiePoor Brain ule mshangazi wako wa ilala huwa unautaje??
Njooni hapa wakuu utuambie jina unalomuita mpenzi wako ambalo watu wakisikia lazima washangaa
Uyu mpenzi wangu ni mzuri ana shape sura tabia tumekaa nae mahusianoni miaka miwili hili jina nilimpa baada ya kuona vyeti vyake vya O LEVEL and ADVANCE LEVEL akiwa na ufaulu mkubwa wa mathematics kuliko masomo mengine katika level zote ana A ya MATHEMATICS
Hivyo Nikamtunga jina ACADEMIC MASTER Huwa nikimuita anacheka sana sikutegemea kama anajua mathematics ivyo
MshangaziNamwita T-3 (tumbo, tako na titi)
Monetary doctor wako unamwitaje.
KasongoNjooni hapa wakuu utuambie jina unalomuita mpenzi wako ambalo watu wakisikia lazima washangaa
Uyu mpenzi wangu ni mzuri ana shape sura tabia tumekaa nae mahusianoni miaka miwili hili jina nilimpa baada ya kuona vyeti vyake vya O LEVEL and ADVANCE LEVEL akiwa na ufaulu mkubwa wa mathematics kuliko masomo mengine katika level zote ana A ya MATHEMATICS
Hivyo Nikamtunga jina ACADEMIC MASTER Huwa nikimuita anacheka sana sikutegemea kama anajua mathematics ivyo
Mpenzi wangu wa zamani nilikuwa namwita 'kitumbua'.Mshangazi
Ebu ngoja nimuulize huyu b y wangu jina gani la utani atanipaMpenzi wangu wa zamani nilikuwa namwita 'kitumbua'.
Dude lake lilikuwa limetuna ile mbaya!
Hebu mwulize.Ebu ngoja nimuulize huyu b y wangu jina gani la utani atanipa