Jina gani la utani huwa unamuita mpenzi wako linaloshangaza

Kuna mtu anaitwa bakolongo'nda 🙌
 
Kama kawaida yako unawataka wavivu wavivu na wachovu.🤣 Money oriented
Hamnaaaa sio hela , hela tutatumia za mzazi wake, mi mvivu kudungwa(,vijana wa sasa wanasema kupelekewa moto,)
🤣🤣🤣🤣ndo maana nataka mnyonge mwenzangu ili tunyongeane kinyongee
 
Hamnaaaa sio hela , hela tutatumia za mzazi wake, mi mvivu kudungwa(,vijana wa sasa wanasema kupelekewa moto,)
🤣🤣🤣🤣ndo maana nataka mnyonge mwenzangu ili tunyongeane kinyongee
Me and I, Raine Sina msaada woote na wewe tena🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…