CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
mi wangu majanga niligundua amenisave jina la binti yetu nilichoka mpaka leo kaacha hilo hilo bado najiuliza anamaanisha nini nisaidieni namna ya kutatua issue hii. Ni mke wake wa ndoa kabsaaa tena tuna huu mwaka wa 15
Kuna mjeda mmoja ana mke.na watoto na vimada lukuki..... Kila kimada kamsave hivi...
Mfano kimada huyu ni mwenyeji wa Moshi, anamsave RPC Moshi, Mwenyeji wa Shinyanga RPC Shinyanga, Mwenyeji wa DSM RPC DSM, Mwenyeji wa Moro RPC Moro. Sasa mmojawapo wa kimada akipiga hata kama simu anayo mkewe, mkewe humpelekea na kumwambia simu yako toka wa RPC .........
Mjeda anaenda zake mbaaali kuongea na kimada wake kwa raha zake......
At your own risk
Wasio save wana lao jambo
hahaaa hapo hamna cha kusevu yohana mbatizaji wala my baby
Mm kuna mmoja nlimsave my love. Alipoanza dharau nlibadilisha nkamsave 'mavi'. Bt that was long time. Lols
Dah! Mjeda kaniacha hoooiKuna mjeda mmoja ana mke.na watoto na vimada lukuki..... Kila kimada kamsave hivi...
Mfano kimada huyu ni mwenyeji wa Moshi, anamsave RPC Moshi, Mwenyeji wa Shinyanga RPC Shinyanga, Mwenyeji wa DSM RPC DSM, Mwenyeji wa Moro RPC Moro. Sasa mmojawapo wa kimada akipiga hata kama simu anayo mkewe, mkewe humpelekea na kumwambia simu yako toka wa RPC .........
Mjeda anaenda zake mbaaali kuongea na kimada wake kwa raha zake......
At your own risk
Huyu mjeda anaakili sana
Tatizo hakuna formula ya kuseviana eti kuwa nimekusevu kwa Jina la Honey basi wewe unisevu kama Sweetheart, aaah za wapi hizo bhana, nakusevu kwa jina lako tu
Duuuuuu hii ni kaliNimemsave "BAttery empty"
Ukizaliwa kubeza kila kitu ni ugojwa, unaitaji tiba.Unataka kujua jina gani limewekwa ama unauliza kama ni haki? Tutabakia kulaumu serikali lakini kufeli mtihani ni sababu ya kutofuata maelekezo.
na mapenzi ya dhati yanakuwepo kwa sana tu
Kuna rafiki yangu yeye kasevu jina la hawara hivi; . yaani nukta tu!
Mi sina simu
Chaguo la shetani.Na yule mwingine umemsaveje?