Jina gani zuri naweza kulitumia kwenye bar yangu?

Jina gani zuri naweza kulitumia kwenye bar yangu?

Tiefu efu sports bar, hakikisha unaonesha mechi zote hapo, hata ligi ya uholanzi isikose
 
Taifa bar and resort

Jipigie Bar (VIP section, bar in the bar)

Karibu sana mkuu nikupatie excel itakayokusaidia katika kusimamia stock pamoja na sales.

Niliwahi kuwa bar manager kwa miezi mitatu, nilipata uzoefu kidogo wa kusimamia hii biashara

Jitahidi sana kuangalia aina za vinywaji vinavyoenda sana visiwe vinakosa

Linda sana watu wa counter, hawa huwa ni wezi sana, unapoajiri mtu wa counter hakikisha anakuletea wadhamini na barua ya utambulisho. Nashauri hivi kwa sababu wengi wao sio waaminifu. Wanaweza kimbia na mauzo.

Kuhusu wahudumu
Wahudumu kulingana na size ya bar yako, unapaswa kuwa na uniform (t-shirt) ili iwe rahisi kum identify muhudumu.

Pili, train wahudumu wako kuwa charming all the time

Wahudumu wako wasiwe na tabia ya kunywa na wateja sana, pia tabia ya kugombea wateja (kuleta mahusiano kazin) try to control it.

Other wise nikutakie kila la kheri ktk biashara yako mpya
Umesahau kuwa anatakiwa atafute wahudumu wenye takoz
 
Taifa bar and resort

Jipigie Bar (VIP section, bar in the bar)

Karibu sana mkuu nikupatie excel itakayokusaidia katika kusimamia stock pamoja na sales.

Niliwahi kuwa bar manager kwa miezi mitatu, nilipata uzoefu kidogo wa kusimamia hii biashara

Jitahidi sana kuangalia aina za vinywaji vinavyoenda sana visiwe vinakosa

Linda sana watu wa counter, hawa huwa ni wezi sana, unapoajiri mtu wa counter hakikisha anakuletea wadhamini na barua ya utambulisho. Nashauri hivi kwa sababu wengi wao sio waaminifu. Wanaweza kimbia na mauzo.

Kuhusu wahudumu
Wahudumu kulingana na size ya bar yako, unapaswa kuwa na uniform (t-shirt) ili iwe rahisi kum identify muhudumu.

Pili, train wahudumu wako kuwa charming all the time

Wahudumu wako wasiwe na tabia ya kunywa na wateja sana, pia tabia ya kugombea wateja (kuleta mahusiano kazin) try to control it.

Other wise nikutakie kila la kheri ktk biashara yako mpya

Mkuu naomba hiyo Excel, kama hautopendezwa hapa ntashukuru ukinitumia DM
 
TOROKA UJE Bar
ISHOKELA HELA Bar hii walugaluga utawapata sana
 
Taifa bar and resort

Jipigie Bar (VIP section, bar in the bar)

Karibu sana mkuu nikupatie excel itakayokusaidia katika kusimamia stock pamoja na sales.

Niliwahi kuwa bar manager kwa miezi mitatu, nilipata uzoefu kidogo wa kusimamia hii biashara

Jitahidi sana kuangalia aina za vinywaji vinavyoenda sana visiwe vinakosa

Linda sana watu wa counter, hawa huwa ni wezi sana, unapoajiri mtu wa counter hakikisha anakuletea wadhamini na barua ya utambulisho. Nashauri hivi kwa sababu wengi wao sio waaminifu. Wanaweza kimbia na mauzo.

Kuhusu wahudumu
Wahudumu kulingana na size ya bar yako, unapaswa kuwa na uniform (t-shirt) ili iwe rahisi kum identify muhudumu.

Pili, train wahudumu wako kuwa charming all the time

Wahudumu wako wasiwe na tabia ya kunywa na wateja sana, pia tabia ya kugombea wateja (kuleta mahusiano kazin) try to control it.

Other wise nikutakie kila la kheri ktk biashara yako mpya
Wewe wa wapi? Umeongea kama sio mtanzania. Umekuwa na roho nzuri mpaka tunakushangaa ujue. Humu kawaida ni kuingizana chaka tu.

Please nitumie hiyo excel PM
 
Papuchi bar

IMG_2362.jpg

Majohe Kutokea Pugu, Dar hiyo.
 
Back
Top Bottom