Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,053
- 2,757
Mwakalebela Bar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule Arusha kuna bar inaitwa matako barPapuchi bar
Umesahau kuwa anatakiwa atafute wahudumu wenye takozTaifa bar and resort
Jipigie Bar (VIP section, bar in the bar)
Karibu sana mkuu nikupatie excel itakayokusaidia katika kusimamia stock pamoja na sales.
Niliwahi kuwa bar manager kwa miezi mitatu, nilipata uzoefu kidogo wa kusimamia hii biashara
Jitahidi sana kuangalia aina za vinywaji vinavyoenda sana visiwe vinakosa
Linda sana watu wa counter, hawa huwa ni wezi sana, unapoajiri mtu wa counter hakikisha anakuletea wadhamini na barua ya utambulisho. Nashauri hivi kwa sababu wengi wao sio waaminifu. Wanaweza kimbia na mauzo.
Kuhusu wahudumu
Wahudumu kulingana na size ya bar yako, unapaswa kuwa na uniform (t-shirt) ili iwe rahisi kum identify muhudumu.
Pili, train wahudumu wako kuwa charming all the time
Wahudumu wako wasiwe na tabia ya kunywa na wateja sana, pia tabia ya kugombea wateja (kuleta mahusiano kazin) try to control it.
Other wise nikutakie kila la kheri ktk biashara yako mpya
Taifa bar and resort
Jipigie Bar (VIP section, bar in the bar)
Karibu sana mkuu nikupatie excel itakayokusaidia katika kusimamia stock pamoja na sales.
Niliwahi kuwa bar manager kwa miezi mitatu, nilipata uzoefu kidogo wa kusimamia hii biashara
Jitahidi sana kuangalia aina za vinywaji vinavyoenda sana visiwe vinakosa
Linda sana watu wa counter, hawa huwa ni wezi sana, unapoajiri mtu wa counter hakikisha anakuletea wadhamini na barua ya utambulisho. Nashauri hivi kwa sababu wengi wao sio waaminifu. Wanaweza kimbia na mauzo.
Kuhusu wahudumu
Wahudumu kulingana na size ya bar yako, unapaswa kuwa na uniform (t-shirt) ili iwe rahisi kum identify muhudumu.
Pili, train wahudumu wako kuwa charming all the time
Wahudumu wako wasiwe na tabia ya kunywa na wateja sana, pia tabia ya kugombea wateja (kuleta mahusiano kazin) try to control it.
Other wise nikutakie kila la kheri ktk biashara yako mpya
Unahusika na biashara kama hii?Mkuu naomba hiyo Excel,kama hautopendezwa hapa ntashukuru ukinitumia DM
NdioUnahusika na biashara kama hii?
Ok ngoja nikutumieNdio
Nitumie e mail yakoNdio
Wewe wa wapi? Umeongea kama sio mtanzania. Umekuwa na roho nzuri mpaka tunakushangaa ujue. Humu kawaida ni kuingizana chaka tu.Taifa bar and resort
Jipigie Bar (VIP section, bar in the bar)
Karibu sana mkuu nikupatie excel itakayokusaidia katika kusimamia stock pamoja na sales.
Niliwahi kuwa bar manager kwa miezi mitatu, nilipata uzoefu kidogo wa kusimamia hii biashara
Jitahidi sana kuangalia aina za vinywaji vinavyoenda sana visiwe vinakosa
Linda sana watu wa counter, hawa huwa ni wezi sana, unapoajiri mtu wa counter hakikisha anakuletea wadhamini na barua ya utambulisho. Nashauri hivi kwa sababu wengi wao sio waaminifu. Wanaweza kimbia na mauzo.
Kuhusu wahudumu
Wahudumu kulingana na size ya bar yako, unapaswa kuwa na uniform (t-shirt) ili iwe rahisi kum identify muhudumu.
Pili, train wahudumu wako kuwa charming all the time
Wahudumu wako wasiwe na tabia ya kunywa na wateja sana, pia tabia ya kugombea wateja (kuleta mahusiano kazin) try to control it.
Other wise nikutakie kila la kheri ktk biashara yako mpya