Quavohucho
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 798
- 2,028
Kimasihara pub
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Full to-to-ziHabari ndugu, jamaa na marafiki katika mihangaiko yangu ya hapa na pale baada ya kusoma mawazo ya wadau humu, nimefanikiwa kufungua Bar nimekuja kwenu ili nipate jina zuri ambalo naweza kulitumia kwa ajili ya hiyo bar.
Asanteni.
Songea mjin maeneo ya BuhembaBar iko mkoa gan na mtaa upi mkuu?
Siyo kweli, kwamba biashara itamshinda.Siyo utani. Nasema kweli. Biashara itakushinda mapema sana. Kama umeshindwa kutafuta jina la Bar yako basi yajayo yatakushinda.
Kabisa kazi kwangu kuchagua jina zuriNatumae mleta mada umapata muongozo...
Mashabiki wa Simba watakuja kweli...???Kaiza chiefs bar
Hayo ni mawazo yako lkn kila kitu kipo kwenye mpango sahihiSiyo utani. Nasema kweli. Biashara itakushinda mapema sana. Kama umeshindwa kutafuta jina la Bar yako basi yajayo yatakushinda.
Au hiyo bar iitwe "BIG BUTTS PUB" aka BB - PUBMatacle Makubwa Bar