kwangu haifunguki duh
umefikiri kama mimi.. mi nikiangalia kile kipindi TV 1 edzen na jokate ndio wanaendana sio dida ko ilibidi awe na Dada age hizo sio yule mama
yule edzen lazima angekua na mtu dida ni kama Mama. ake tu
huyo dida nae akaogeee alivyokubali kuolewa na mwanawe alifkriaje kwani...???nampa pole maana hana bahati na ndoa
binamu naona match bet zinanipita
Kwa nn tena binamu? Mi niko stand by apa utupe ma news ya uko dah, sijui itakuwaj tena
haha anapost wakati hata hata bado kufanyika akajipange kabla hatujampanga
Sio siri mi naumia saaaana na promo ya huyu dogo wakati yuko shallow sana kikazi.
Watu kama akina Oliver mtukudzi au Selif keita wa Mali ndo wanapaswa kuwemo kwenye hizi tuzo kutokana na uzito wake.
Diamond ukipata haya hiyo tuzo bahati mbaaya kampe Oliver mtukudzi kwa heshima.
Kwa nn tena binamu? Mi niko stand by apa utupe ma news ya uko dah, sijui itakuwaj tena
Beyone jina lake lipo kwenye Hollywood walk of fame kupitia kundi lake la destiny child ila yeye binafsi analilia mpaka kesho heshima hiyo,Jay Z mpaka leo hajawekwa kwenye Hollywood walk of Fame na last time idadi ya majina yalikua hayajafika 3000 hapo jumlisha na majina ya cartoons zilizowahi kupata umaarufu....,eti Diamond leo atuambie jina lake lipo kwenye zile nyota 5 pale California nyambafuuuuu ila leo namtetea heaven on desert maana nae kalishwa tango pori na bosi wake + hawara wa bosi wake kule IG.
Simply Diamond hii picha ni kuonyesha kua ni nominee kwenye BET ya mwaka huu na baada ya tunzo wananyofoa majina kama vipi akawaulize Camp Mulla kama kuna alama ya jina lao tena ile ni kama kuorodhesha majina ya nominees kama ambavyo Shigongo anaweka kwenye gazeti la ijumaa wakati KTMA.
All the best Diamond kwenye tunzo za leo hoping you'll come back home holding that shit in ya hand.
diamond holla hajaambulia kitu katoka patupu
diamond katoka patupu tuzo imeenda kwa Davido binamu
Yule namvutia pumzi binamu, natak nijiunge na account fake uko insta nipambane nae vizur we ngoja
Domo chaliiiii safarii hii kwa hasira amshirikishee Kanye west tuone akikosa tuzooo akarogee
Halaf mganga wake ataanza kujisifuuu loo kamuwezaaa wakati sie kimziki ni bado sanaaa
Dear uji wenyewwe hauna hata limao wala pilipili manga
Hollaaaaaaa, wapi team mavi mavi za uko insta, Team Haters oyeeeeee, ndomo akaogeee, vip nyota ya madame imeshindwa kufanya kaz uko??
Holllaaaaaaa, usiniambieee??? Uwiiiiiii Team Haters Oyeeeeeeeeeeeeeeee
Yule namvutia pumzi binamu, natak nijiunge na account fake uko insta nipambane nae vizur we ngoja