Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

View attachment 167709View attachment 167710View attachment 167711
Diamond yupo jijini Los Angeles Kuhudhuria utoaji wa tuzo za BET jpil trh 29..na moja ya kitu ambacho itakua ni arama na kumbukumbu kubwa kwake,ni jinalake kuandikwa kwenye sakafu ya HOLLYWOOD WAKE OF FAME ambapo anakuwa mtanzania wa kwanza katika historia pale huandikwa majina ya watu maarufu/mashuhuri duniani kama heshima..mmoja ya mastaa ambao majina yao yameandikwa pale ni bruce wills,michael jackson ,JBieber na wengine wengi..Hongera My big boss,ni heshima kwako na sisi pia ..na Mungu ajalie kesho ushinde.


Wewe acha utani! Unaijua Hollywood Walk of Fame au unaandika aandika tu? Muwe mnauliza kwanza kabla ya kuposti hizi blah blah zenu.
 
Wewe acha utani! Unaijua Hollywood Walk of Fame au unaandika aandika tu? Muwe mnauliza kwanza kabla ya kuposti hizi blah blah zenu.

Mkuu umemnukuu vibaya yeye kaandika WAKE OF FAME nadhani anamaanisha kitu kingine.
 
Ile sio Hollywood walk of fame ila ni recognition ya kila msanii anaegombea tuzo jaman... ila good luck diamond

Jamani, kuuliza si ushamba. Before starting a thread be sure of what your saying! That's not Hollywood walk of fame. Keep it up! Diamond utafika tu.
 
Hongera Diamond kwa kutuwakilisha kwenye BET Award ila wewe Kifesi siku nyingine uwe makini unamfanya boss wako aonekane waluwalu
 
eti Hollywood Walk of Fame...hata ku Google umeshindwa
 
Mimi naunga mkono hoja ya diamond akitaka aendelee basi abadilishe tim yake na aanze na huyu mpiga picha wake H.O.D mburula anaedanganya umma
 
Wapambe njaa wa Diamond ndio wanamharibia kwa kuleta publicity za kulazimisha hata kwa mambo yasio maana na uongo humo humo mpaka inakera...halafu watu wakiongea wanaitwa haters!
Mwacheni kijana kazi yake nzuri itajiuza yenyewe hamna haja ya kulazimisha umaarufu namna hiyo!
 
Wapambe njaa wa Diamond ndio wanamharibia kwa kuleta publicity za kulazimisha hata kwa mambo yasio maana na uongo humo humo mpaka inakera...halafu watu wakiongea wanaitwa haters!
Mwacheni kijana kazi yake nzuri itajiuza yenyewe hamna haja ya kulazimisha umaarufu namna hiyo!


Wewe haujipendi. Wabongo wanavyochukia ukweli, sasa hivi utatukanwa na wapambe wa domo, subiri tu.
 
Back
Top Bottom