Jina la Diamond laandikwa kwenye Hollywood Walk of Fame

uwiii nimefurah kiama, ndo arud bongo afungue mgahawa apike mama ntilie, hayo mambo makubwa awaachie akina davido, aje tu asubir ktma ya mwakan, naon safar hii atapat tuz kumi

Hahahaha unanifuraishaga wewe
 
Nadhani mleta uzi hakujua kama hizo Za akina Diamond ni Za muda tu kwa wanaowania tuzo sio zile Za kudumu kama akina Michael Jackson.
Amuulize Akon kama kaandikwa kwenye hizo Za kudumu.
Ova.
 
Domo chaliiiii safarii hii kwa hasira amshirikishee Kanye west tuone akikosa tuzooo akarogee
Halaf mganga wake ataanza kujisifuuu loo kamuwezaaa wakati sie kimziki ni bado sanaaa

Atamuanzaje huyo kanye?Duh kama namuona alivyonyong'onyea
 
ila warumi ungekuwa mchawi ungekuwa ushamtungua mpaka mzee wa kaya.. maana
 
Last edited by a moderator:
Duh sema safari hii alitumia busara hakuenda kwa mbwembwe nyingi kama mwanzo wala hakuzoa kundi la watu,come back home lil' boy huyu Davido mchokozi usicheze nae tena maana anakuumiza second time sasa duh u've my sorry.
 
uwiii nimefurah kiama, ndo arud bongo afungue mgahawa apike mama ntilie, hayo mambo makubwa awaachie akina davido, aje tu asubir ktma ya mwakan, naon safar hii atapat tuz kumi

Binamu utachambwwaa huko instaa ,davido nae kavaa puan helen tena, ila wema anampoza domo unajuaa misifa yao ileee
 
Hapo eti ndo wanadai Domo kamtoa Davido.... like seriouslyyy???

Kwa hiyo walimuita wa nini wa sasa ils hata hivyo kajitahidii prezi mbona hajaitwaa akazanee kubadilisha mziki aimbe wa kimataifa sio kumuimba wema na jokate tu ooiooh
 
Trust me guys hii ndo end ya singing carrer ya domo msakumba no I mean domo benzi akisurvive hapa basi forever.

Kuna kitu kinaitwa kufubaa kimuziki dogo anaelekea huko. Ka watu washamchoka flani hivi. The same applies hata kwenye masuala mengi for instance Dr slaa nae kafubaa kisiasa.

Kapotea Juma nature aliekuwa hata akipiga tu kelele zisizo na maana stejini watu bado wanafurahia ije kuwa domo benzi. Mxiiiuuuuuu!! Domobenzi my asss...blalifuli!!!

Aje awe balozi wa nyumba kumi hapa kwetu mabatini fonia. Ahahhaahhahaha!
 
I feel so gud!! Huwa sipendi sana mafanikio ya janjajanja then mtu anataka kusumbua watu. Bora hata mackamua, Q jay, jide, vitalis mahembe..hawa jamaa ni wanamuziki ila domo ni msanii msanii tu janjajanja isiyo na msingi na unataka mafanikio na heshima...unataka vyanini vyote hivi wakati unatania tania.
 
Dida was ezdeee kamfumania mumewe.....hahahahaaa

Eeh makubwa kile kiserenget chake kama kinaumwa sickle cell? Sasa kamfumania kitu gan wakat bado kijana, lenyew lishapat menopause akitulize uko asituletee shida apa
 
Vyovyote vile iwe walk of fame au Attendance Register Hongera sana Diamond kwa kufika hapo Ulipo !
 
Wake of fame?
Ndionini mkuu..


Nimeangalia Juu Jamaa alivyoandika kwani ni nini hiyo?
 
Ameshindwa redio mbao kimyaaaaaaaaaaaa. Walidanganya watu kuwa anaongoza kwa kupigiwa kura ila kaanguka vibaya sana
 
wamarekani weusi wanalalamika kuhusu racism lakini wenyewe wanafanya mfano ni hiyo BET yenyewe, pili wamewabagua afrika kwenye jukwaa la kutolea tuzo davido hajapanda jukwaa wanalopanda wakina nas na wengine kapewa tuzo down stairs,
 
Alama sio arama,jifunzeni lugha yetu mnatia kizunguzungu.

Usikurupuke soma alama za nyakati na majira ya nukta,ebu angalia vizuri nilivyo-comment ndio utajua angalia bold hiyo,mtoa mada ndio alivyoandika,ARAMA na WAKE OF FAME.
 
Duh! Hili jukwaa lina watu wenye chuki za ajabu hadi inashangaza! Mtu anaweza kujiuliza, kushindwa kwa Diamond, yeye binafsi au familia yake imenufaika nini baada ya Diamond kushindwa... HAKUNA... ili mradi tu TUKOSE WOTE! USHAMBA ULIOJE!! Diamond sio mtu wa nyodo kwa mashabiki wake, labda tungesema angepata ANGERINGA... sasa wewe ambae wala haupo kwenye ring moja la ushindani kimuziki na Diamond, unafurahia nini kukosa kwa Diamond... HAKUNA, kumbe tu WIVU WA... !!! Watu mna chuki hata Shetani akiwaona anatoka nduki... halafu mbaya zaidi, wengi hapa kam sio wote ni under 30 lakini mna chuki mtafikri wazee wanaokaribia kukata roho!!!!
 
Kwa hiyo walimuita wa nini wa sasa ils hata hivyo kajitahidii prezi mbona hajaitwaa akazanee kubadilisha mziki aimbe wa kimataifa sio kumuimba wema na jokate tu ooiooh

Si anatafuta umaarufu bongo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…