T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Jibu HOJA acha viroja.Kimei hapana hatutaki wachaga
Sawa Mkuu!nilitaka kumkumbusha pia kwenye hilo. Akikujibu nitag
Yeyote anaweza kupewa hiyo wizara. Hata Dk. King Msukuma anaweza tu hiyo wizara!Hao ambao sio wachaga wametufanyia nini ? Mfano huyo chotara wa kinyiramba na kisukuma anamaajabu gani maana wizara imemshinda anapuyanga tu na apersonal attack kwa Luhanga Mpina! Kimei kama atapewa vizara ni poa tu!
Na kweli mchaga anaweza kuiba mpk kibubu chenye njuruuHuyo hapana. Ni Mchagga!
Akili mbovu za kijima hizo!Na kweli mchaga anaweza kuiba mpk kibubu chenye njuruu
Hilo jina linajadiliwa mno kwenye corridor za juu huko na upinzani ni mkubwa mno baina yeye na aliyepo sasa kwenye mambo ya (njuruuu)ni nani baina yao akawe boss wa wizara mpya inayoenda kuanzishwa hivi karibuni ihusuyo mambo ya mipango.
" Ilikuwa yule mvuka maji msaidizi wa jamaa angepandishwa kuwa boss na boss angepelekwa mipango lakini kiongozi atasita kumpandisha mvuka maji mwenzake kwa sababu upepo una dhoruba mno kama unavyotambua."
Katika karne hii ya ishirini na moja bado watu wanafkra za ukabila! Shame on you!Kwa Kimei nchi inaenda kufilisika na hela zote zitaenda kwa wachaga, naapa kwa jina la Yesu Kristo, Kimei atailiza nchi.
Atahamishia pesa zote MoshiJibu HOJA acha viroja.
Kwamba mwigu amehamishia Kwa wakwe?Atahamishia pesa zote Moshi
Kwahiyo unamkubali kwasababu alikuuzia ice cream?Kimei namkubali sana. Kwa mara ya kwanza nimekula barafu(ice cream) nilinunuliwa na baba yangu mdogo kwa Kimei kipindi ni meneja wa NMB wilaya moja Kagera huko.
Wanaosababisha mambo yaende kwa ufanisi ni wataalamu tu, viongozi wa kisiasa ni wafuata upepo na wapenda sifa bila kujua utafutaji.Hao ambao sio wachaga wametufanyia nini ? Mfano huyo chotara wa kinyiramba na kisukuma anamaajabu gani maana wizara imemshinda anapuyanga tu na apersonal attack kwa Luhanga Mpina! Kimei kama atapewa vizara ni poa tu!
Bora Mwigulu ila siyo mchaga yoyote yuleKwamba mwigu amehamishia Kwa wakwe?
Si Rahisi kiivyo!!!
Usituhamushe,bado tuna hoja ya DPWHilo jina linajadiliwa mno kwenye corridor za juu huko na upinzani ni mkubwa mno baina yeye na aliyepo sasa kwenye mambo ya (njuruuu)ni nani baina yao akawe boss wa wizara mpya inayoenda kuanzishwa hivi karibuni ihusuyo mambo ya mipango.
" Ilikuwa yule mvuka maji msaidizi wa jamaa angepandishwa kuwa boss na boss angepelekwa mipango lakini kiongozi atasita kumpandisha mvuka maji mwenzake kwa sababu upepo una dhoruba mno kama unavyotambua."
Mbona unayo account crdb Hadi Leo na hakuiba pesa zako alipokuwa MD?Bora Mwigulu ila siyo mchaga yoyote yule
Kwa mara ya kwanza kula hiki kitu. Nasikia alikuwa na fridge linatumia mafuta ya taa. Kama mtu anaweza kuja na idea ya kuuza ice cream kijijini miaka hiyo its obvious ni mbunifu na ana uthubutu. Sifa ya kiongozi wengi tunae muhitajiKwahiyo unamkubali kwasababu alikuuzia ice cream?
Hiyo fridge aliitengeneza yeye au aliinunua kwa fedha za serikali kutokana nafasi aliyokuwa nayo?Kwa mara ya kwanza kula hiki kitu. Nasikia alikuwa na fridge linatumia mafuta ya taa. Kama mtu anaweza kuja na idea ya kuuza ice cream kijijini miaka hiyo its obvious ni mbunifu na ana uthubutu. Sifa ya kiongozi wengi tunae muhitaji