Pre GE2025 Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

Pre GE2025 Jina la Dkt. Samia latamkwa mara 40 kwenye Hotuba ya Bajeti ya Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mliokuwa na utimamu wa akili nyakati za JKN na Mzee Mwinyi, haya mambo yalikuwepo? Naona zama za JPM na SSH zimezalisha watu wa hovyo sana.
Hata wakati wa JPM jina la JPM lilikuwa halitamkwi kwenye bajeti Bali ilikuwa inasomeka “serikali”. Ukiweza pitia hotuba zote za bajeti kuanzia 2016 hadi 2020 uone kama kama kweli upuuzi huo ulikuwapo. JPM alikuwa anasifiwa mitaani tu lakini siyo kwenye document kubwa za serikali kama bajeti na policy Bali walikuwa wanasema “Serikali imejenga ..,,
 
Waziri wa fedha Dr Mwigulu Nchemba ametumia dakika 127 sawa na saa 2 na dakika 7 kuwasilisha Bajeti ya Serikali huku Jina la Rais Samia Suluhu Hassan akilitamka mara 40 ( arobaini)

Source: Mwananchi

Mlale Unono 😄
takataka uchawa tu. Tatizo na yeye aataka kusifiwa, Umungu Mke anautaka sana na hajifunzi kutoka kwa magufuli. Waliokuwa wanamsifia na kumpa U-Mungu, alipokufa , hao hao wakamsuta kwa ukatili.

Huyu Samia hajifunzi lolote katu!
 
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba ametumia dakika 127 sawa na saa 2 na dakika saba kuwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 huku jina la Rais Samia Suluhu Hassan akilitamka mara 40.

Dk Mwigulu ameanza kusoma bajeti hiyo leo Alhamisi, Juni 13, 2024 bungeni jijini Dodoma kuanzia saa 10:04 hadi 12:11 jioni.

Mbali na Dk Mwigulu kulitaja jina la Samia Suluhu Hassan wakati akiwasilisha bajeti hiyo yenye kurasa 173, pia ametaja jina la ‘Mama’ mara 15 wakati akinogesha hotuba yake mathalani amesema: “Ni dhahiri Mama hasemi tu, bali anatekeleza!”

Pia, Dk Mwigulu akielezea mafanikio makubwa ya awamu ya sita amesema: “Hii inadhihirisha kuwa Mama anawapenda sana Watanzania, hivyo basi na sisi Watanzania tusimame na Mama.”

Zaidi soma: Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Nilipoanza kusikiliza bajeti nilidhania na mkutano wa kampeni.
 
Sina imani na Dr Mwigulu , anatukamua kodi huku, hali mbaya mtaani.
Kodi ya umeme, TRA, Mafuta bei Juu...
 
Una MOYO mgumu sana,umesikiliza hotuba ya ccm na mwigulu??au huna kazi???
 
Kwa sababu wewe hujui Sayansi ya namba

40 ndiyo namba ya Ukamilifu

Wana wa Israel walisafiri Jangwani miaka 40

Hitma Yako wewe ukidedi ni 40

Za mwizi ni 40

Sasa wewe na elimu Yako ya Memkwa ni kweli ungetaja mara 10000 ila Mwigulu ni Daktari wa Falsafa anaelewa Sayansi ya namba

Ulale unono 😂😂😂😂
Yohana,Yohana,Yohana,Yohana unanipasua mkuu.
 
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba ametumia dakika 127 sawa na saa 2 na dakika saba kuwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 huku jina la Rais Samia Suluhu Hassan akilitamka mara 40.

Dk Mwigulu ameanza kusoma bajeti hiyo leo Alhamisi, Juni 13, 2024 bungeni jijini Dodoma kuanzia saa 10:04 hadi 12:11 jioni.

Mbali na Dk Mwigulu kulitaja jina la Samia Suluhu Hassan wakati akiwasilisha bajeti hiyo yenye kurasa 173, pia ametaja jina la ‘Mama’ mara 15 wakati akinogesha hotuba yake mathalani amesema: “Ni dhahiri Mama hasemi tu, bali anatekeleza!”

Pia, Dk Mwigulu akielezea mafanikio makubwa ya awamu ya sita amesema: “Hii inadhihirisha kuwa Mama anawapenda sana Watanzania, hivyo basi na sisi Watanzania tusimame na Mama.”

Zaidi soma: Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Mama anapenda sana kutajwa tajwa.
 
Amelitaja mara chache sana.Maana ningekuwa mimi ningelitaja kila baada ya mstari mmoja. Hii ni kutokana na uchapakazi wa Mama yetu na kazi kubwa alizozifanya kwa Taifa letu zilizogusa maisha ya watanzania na kuinua matumaini kwa wengi.

Rais Samia ameleta nuru na Mwanga katika maisha ya watanzania. Kwa hakika ningelitaja Jina la Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa unyenyekevu mkubwa sana.
Fak u
 
Kwa sababu wewe hujui Sayansi ya namba

40 ndiyo namba ya Ukamilifu

Wana wa Israel walisafiri Jangwani miaka 40

Hitma Yako wewe ukidedi ni 40

Za mwizi ni 40

Sasa wewe na elimu Yako ya Memkwa ni kweli ungetaja mara 10000 ila Mwigulu ni Daktari wa Falsafa anaelewa Sayansi ya namba

Ulale unono 😂😂😂😂
Kijamaa kumbe ni ki memkwa, ndiomaana kijingajinga
 
Amelitaja mara chache sana.Maana ningekuwa mimi ningelitaja kila baada ya mstari mmoja. Hii ni kutokana na uchapakazi wa Mama yetu na kazi kubwa alizozifanya kwa Taifa letu zilizogusa maisha ya watanzania na kuinua matumaini kwa wengi.

Rais Samia ameleta nuru na Mwanga katika maisha ya watanzania. Kwa hakika ningelitaja Jina la Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa unyenyekevu mkubwa sana.
Chawa promax……. Kuna mtu aliwahi kusema ukiendekeza (njaa) uchawa unakuwa hutumii akili na ubunifu unakuwa 0
 
Kuna kitu psychological hapa! Watanzania wapenda kuwa watoto siku zote, na ndiyo maana wa 'baba wa taifa' na mama yao! Naapa hakuna taifa jingine duniani ambalo halijaondokewa na hao wawili!
 
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba ametumia dakika 127 sawa na saa 2 na dakika saba kuwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 huku jina la Rais Samia Suluhu Hassan akilitamka mara 40.

Dk Mwigulu ameanza kusoma bajeti hiyo leo Alhamisi, Juni 13, 2024 bungeni jijini Dodoma kuanzia saa 10:04 hadi 12:11 jioni.

Mbali na Dk Mwigulu kulitaja jina la Samia Suluhu Hassan wakati akiwasilisha bajeti hiyo yenye kurasa 173, pia ametaja jina la ‘Mama’ mara 15 wakati akinogesha hotuba yake mathalani amesema: “Ni dhahiri Mama hasemi tu, bali anatekeleza!”

Pia, Dk Mwigulu akielezea mafanikio makubwa ya awamu ya sita amesema: “Hii inadhihirisha kuwa Mama anawapenda sana Watanzania, hivyo basi na sisi Watanzania tusimame na Mama.”

Zaidi soma: Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
BILA KUMTAJA RAIS KWENYE BAJET HIYO ITAKUWA SIYO BAJETI NI BATILI
 
Hivyo kila baada ya dakika 2 na sekunde Chache alitamka jina la Rais Samia au jina la mama.
 
Back
Top Bottom