Jina la Hayati Magufuli bado lina nguvu sana

Jina la Hayati Magufuli bado lina nguvu sana

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.

Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.

Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.

Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.

Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.

Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.

Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.
 
IPO haja ya Kuboresha sana Mfumo wetu wa Elimu.

Kama Vijana ndio tunamawazo mabovu ya hovyo kiasi hiki, JE tukizeeka,cell zikipungua NGUVU si Tutakuwa vichaa kabisa.

Unaamka Asubuhi unaandika UPMBFU KIASI HIKI. INASIKITISHA NA INAUMA SANA.

Fikiria kuwa na Taasisi Imara sio binadamu tunaokufa.

GREATHINKERS TUNAISHA KWA KASI HUMU NDANI.
 
Nawewe ungeanzisha Uzi wako. Tambua kwamba hayo ni mawazo yake na Kama ulikua na chuki binafsi na mtajwa au humpendi basi Kila mmoja afuate mawazo Yako.

Yaani kati ya mtoa mada na wewe naona kabisa wewe huutendei haki ubongo wako.
 
Hata majina ya Hitler, Idd Amin, Banda, Mabutu, Shetani, Ibilisi bado yana nguvu sana

Sio jambo la kushangaza
Mwanamke ukimbutua ukamuachia mimba ukamtelekeza kelele zake hadi wilayani zinafika!

Ndio nyie sasa wabutuliwa wa JPM
 
Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wawatu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.

Any way lengo langu sio hilo
Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia sio case mtu hawezi kupendwa na wote

Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi jpm ndo most loved president in Tanzania and all Africa.

Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao sio makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa

Na kionngozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivo mmm watu watanenepa bure
Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo hili akili zao zikae sawa kichwani

Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.
SANA tu
 
Lina nguvu hapo kijijini chato!! Yule mshamba alikuwa akiongozwa na Ibilisi!! Hata shetani haachwi kutajwa tajwa kunywa vinywa vya wafuasi wake!!
 
Back
Top Bottom