Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NonsenseLina nguvu hapo kijijini chato!! Yule mshamba alikuwa akiongozwa na Ibilisi!! Hata shetani haachwi kutajwa tajwa kunywa vinywa vya wafuasi wake!!
Ila ujumbe umewafikia vizuri!Hata majina ya Hitler, Idd Amin, Banda, Mabutu, Shetani, Ibilisi bado yana nguvu sana
Sio jambo la kushangaza
IPO haja ya Kuboresha sana Mfumo wetu wa Elimu.
Kama Vijana ndio tunamawazo mabovu ya hovyo kiasi hiki, JE tukizeeka,cell zikipungua NGUVU si Tutakuwa vichaa kabisa.
Unaamka Asubuhi unaandika UPMBFU KIASI HIKI. INASIKITISHA NA INAUMA SANA.
Fikiria kuwa na Taasisi Imara sio binadamu tunaokufa.
GREATHINKERS TUNAISHA KWA KASI HUMU NDANI.
Kuna watu wakisikia hilo jina wanawewesekaHii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.
Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.
Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.
Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.
Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.
Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.
Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.
Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.
Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.
Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.
Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.
Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.
Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.
Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.
Usitutajie huyo ibilisi.Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.
Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.
Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.
Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.
Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.
Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.
Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.
Hata ujumbe wa shetani unatufikia vizuri kwenye mahubiriIla ujumbe umewafikia vizuri!
Na wale uliowapenda na kuwanengulia sebene nao walikufa na historia zao hata ukiwaimbia mapambio, zilishafungwa kwa mungu.So what
Rais jpm alikuwa bogus na rais wa hovyo kuwahi kutokea duniani hata wazungu walikuwa wanashangaa hili lijitu waliliruhusu vipi likawa rais? Unaendesha nchi kama familia yako hamna kufata Sheria yoyote bali matamko ndo Sheria. What a fuckin president we had had!!Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.
Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.
Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.
Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.
Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.
Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.
Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.