Jina la Hayati Magufuli bado lina nguvu sana

Jina la Hayati Magufuli bado lina nguvu sana

IPO haja ya Kuboresha sana Mfumo wetu wa Elimu.

Kama Vijana ndio tunamawazo mabovu ya hovyo kiasi hiki, JE tukizeeka,cell zikipungua NGUVU si Tutakuwa vichaa kabisa.

Unaamka Asubuhi unaandika UPMBFU KIASI HIKI. INASIKITISHA NA INAUMA SANA.

Fikiria kuwa na Taasisi Imara sio binadamu tunaokufa.

GREATHINKERS TUNAISHA KWA KASI HUMU NDANI.

Taasisi Imara itajiongoza bila viongozi waadilifu?

Taasisi Imara kwa akili zipi?

Hizi za kipumbavu kama zako?

Kwa hiyo wewe ni Great thinker?

Ebu tuthibitishie u-great thinker wako humu?

Vijana wa hivyo kama wewe ndio janga la taifa!

Hata hiyo Avatar yako huijui inamaanisha mji gani Mozambique [emoji1174] na ndio maana umeiandika "Capo" badala ya "Cabo Delgado"

Acha U-Shwine!
 
Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.

Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.

Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.

Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.

Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.

Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.

Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.
Kuna watu wakisikia hilo jina wanaweweseka
 
Kwa mtazamo wako mleta mada siwezi kukupinga ila uongozi wa mkono wa chuma sio kitu kizuri.

Ukiona watu wanasifia uongozi wa kibabe wa magufuli jua fika kipindi cha magu walikua masikini hawakua na biashara wala jambo lolote ambalo magu akipiga panga wao wanaathirika hivyo lazima warndelee kumkumbuka na sio jambo baya kila mtu asimamie uhuru wake.
 
Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.

Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.

Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.

Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.

Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.

Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.

Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.

Yaani wapinzani watumie jina la Magufuli kupata kura, wakati yeye mwenyewe alinajisi uchaguzi ili kutangazwa mshindi!
 
Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.

Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.

Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.

Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.

Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.

Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.

Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.
Usitutajie huyo ibilisi.
 
Na wale uliowapenda na kuwanengulia sebene nao walikufa na historia zao hata ukiwaimbia mapambio, zilishafungwa kwa mungu.
Hakuna atakaeishi milele.

Nakumbuka mtu mmoja lisema heli mwendazake hayupona sasa tupo safi, ni baada ya kwazuia trip za hovyo na matumizi mabaya ya pesa za serikari.

Ila ndege iliyonguka majini bukoba nayo haikumuacha sarama, nadhani kwa sasa wanakutana huko mbinguni.
 
Hii ni kweli kabisa wala hakuna haja ya kubishana na mafisadi fulani hivi ambao wanajifanya watetezi wa watu kumbe ndiyo wezi wakubwa wa taifa hili.

Anyway lengo langu siyo hilo. Hayati Magufuli alikuwa kiongozi bora kabisa pamoja na baadhi ya mafisadi fulani kumchukia siyo case mtu hawezi kupendwa na wote.

Lakini kuelekea mwaka 2025 chama chochote cha upinzani kitacho tumia legacy ya Hayati Magufuli kwenye 100% ya kushinda uchaguzi wa nchi hii wana 70% za kushinda uchaguzi huo kwa kura au kwa mapinduzi, JPM ndiyo most loved President in Tanzania and all Africa.

Kuchukiwa na watu fulani sio case hata hao ambao mnawasifia huku kwetu sijui Gadafi na wengine wengi kwenye nchi zao utakuta majina yao siyo makubwa kivile lakini nje ya nchi zao ni balaa.

Na kiongozi yeyote atakaye ongoza Tanzania kuanzia mwaka 2025 naomba haongoze Tanzania kwa mkono wa chuma bila hivyo mimi watu watanenepa bure.

Maana katika nchi hii kuna watu ambao bado wanahitaji kupigwa kama watoto wadogo ili akili zao zikae sawa kichwani.

Mkinuna mpasuke hata Yesu mwana wa Mungu alikufa, kwa hiyo kifo ni halali ya kila mwanadamu.
Rais jpm alikuwa bogus na rais wa hovyo kuwahi kutokea duniani hata wazungu walikuwa wanashangaa hili lijitu waliliruhusu vipi likawa rais? Unaendesha nchi kama familia yako hamna kufata Sheria yoyote bali matamko ndo Sheria. What a fuckin president we had had!!
 
Back
Top Bottom