Jina la Mkuu limepotea JF

Mkuu asante kwa kutukumbusha
 
Jina la mkuu!!!!!
Kwani huyo mkuu ni nani?
Mwanzo alikua anatumia jina gani?
Kwann usimuache mkuu mwenyewe aje aseme kua jina lake limepotea?
 
Jina la mkuu!!!!!
Kwani huyo mkuu ni nani?
Mwanzo alikua anatumia jina gani?
Kwann usimuache mkuu mwenyewe aje aseme kua jina lake limepotea?
Hapan ase,mkuu huyu sio mtu wa kumwacha apotee kirahis ivi kwa jukwaa.though haonekani ila anatupa heshma fulani ivi,na kututofautisha na mitandao mingne ya kawaida.
 
Hapan ase,mkuu huyu sio mtu wa kumwacha apotee kirahis ivi kwa jukwaa.though haonekani ila anatupa heshma fulani ivi,na kututofautisha na mitandao mingne ya kawaida.
Kwani mara ya mwisho alionekana wap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…