Jina la Mkuu limepotea JF

Jina la Mkuu limepotea JF

Mkuu utatutia matatani jina hilo now linamwenyewe anawivu nalo Sana kiasi ambacho hakina kipimo napendekeza tuwe tunajiita wajumbe wa JF au sio wajumbe wenzangu
aaah,bhasi inabidi tukubaliane wanaJF wote,na uongozi watuambie kwamba inakuaje..kuhusu jina letu pendwa.
 
mkuu yani humu kuna member alitokwa na povu kisa hilo neno uzi mzima alikuwa analalama sitaki hilo jina mi unanifahamu au unaijua kazi yanguu, hasa sijui ningemuita nan, jina lake halieleweki, wala jinsia yake sijui

labda tungeitana mkulu kupunguza ukali
hahahaha.....binadamu bhana,bhasi inabidi mtu ajichagulie jina jepesi tuu,then aitwe hilo.mana mkuu ni kupeana heshima kwa sabu hatujuani vema
 
Wakuu nowadays lile jina letu pendwa la kuitana mkuu,limepotea liko wapi? maana saiv utakuta watu wanaitana shemeji,dada,kaka,jamaa.....na majina mengine.kwamba tumeshafahamiana sana humu Jukwaani au watu wamezoeana sana hadi tumefikieni hatua ya kutambuana,kama ndivyo bhasi vizuri tumetambuana umri,jinsi na status zetu.ila jina mkuu ni zuri sna bhana turudisheni hadhi yake,au mnasemaje wakuu??

Mkuu wa nini sasa...
Ukuu ni cheo/heshima/nafasi ya juu ktk utaratibu fulani. Ok natania anyway

Kama unachangia hoja za maana, zenye weledi humu JF naweza kukuita 'mkuu' kuonyesha heshima yako kwa michango yenye tija iliyojikita ktk mada/topic husika bila kuendeshwa na uchama.

Kwa mfano:
1. Mkuu Nyani Ngabu
2. Mkuu The Boss
3. Mkuu Nifa nk

Lakini siwezi kuliita zwazwa kama Lizaboni kwa jina hilo.
 
Mkuu wa nini sasa...
Ukuu ni cheo/heshima/nafasi ya juu ktk utaratibu fulani. Ok natania anyway

Kama unachangia hoja za maana, zenye weledi humu JF naweza kukuita 'mkuu' kuonyesha heshima yako kwa michango yenye tija iliyojikita ktk mada/topic husika bila kuendeshwa na uchama.

Kwa mfano:
1. Mkuu Nyani Ngabu
2. Mkuu The Boss
3. Mkuu Nifa nk

Lakini siwezi kuliita zwazwa kama Lizaboni kwa jina hilo.
Hahah..mkuu mbna,mi nakuita mkuu though sifahamu kam kweli una sifa iyo.ila anyway hilo jina liliwekwa,tu ili kupeana heshima ivo.
 
Wakuu nowadays lile jina letu pendwa la kuitana mkuu,limepotea liko wapi? maana saiv utakuta watu wanaitana shemeji,dada,kaka,jamaa.....na majina mengine.kwamba tumeshafahamiana sana humu Jukwaani au watu wamezoeana sana hadi tumefikieni hatua ya kutambuana,kama ndivyo bhasi vizuri tumetambuana umri,jinsi na status zetu.ila jina mkuu ni zuri sna bhana turudisheni hadhi yake,au mnasemaje wakuu??
[emoji23] kiongozi kwa sasa hali ya hewa zinafanana, yule uliyekuwa unamuita mkuu akikuona anapita sehemu nyingine.[emoji28]
 
Back
Top Bottom