JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,758
- 2,770
Salaam wanajukwaa la sheria.
Nina changamoto hiyo hapo juu, nimeileta jukwaa hili kupata ushauri wa nifuate utaratibu gani mwanangu aanze kidato cha kwanza na jina lake lilolopo kwenye cheti chake cha kuzaliwa. Limekosewa herufi mbili hivyo naona kabisa ataingia nalo form one na litakuja kusumbua kwenye vyeti mbeleni. Kwa sasa nifanye nini kurekebisha hilo? Msaada tafadhali.
Nina changamoto hiyo hapo juu, nimeileta jukwaa hili kupata ushauri wa nifuate utaratibu gani mwanangu aanze kidato cha kwanza na jina lake lilolopo kwenye cheti chake cha kuzaliwa. Limekosewa herufi mbili hivyo naona kabisa ataingia nalo form one na litakuja kusumbua kwenye vyeti mbeleni. Kwa sasa nifanye nini kurekebisha hilo? Msaada tafadhali.