Jina la Spika litashangaza wengi

Jina la Spika litashangaza wengi

Brekingi nyuzzzz !!!!!!!@@ni mzee wa ubwabwaa Hashim Rungwe Spunda
 
Popote watakapomtoa haina mashiko yoyote ... Hadi katiba mpya itakapomlinda Spika wa bunge la wananchi .... Wananchi hatuna mtu wetu.
 
Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.

Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Mara Pindi Chana huyooo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FB_IMG_16415092386036002.jpg
 
Atakuwa Steven Masselle kuwaridhisha kanda ya nyonyo
 
Tofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.

Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Itakuwa hivi,speaker akitoka bara naibu atatoka visiwani na kinyume chake.ila ni kwa nia njema tuu ya kuimarisha Muungano
 
kwa mlolongo ulivyo, nadhani anaweza kuwa familia ya Kikwete
 
Back
Top Bottom