Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachawi walogapo ndio haswa wanatimiza wajibu waommeshaaanza kuloga tayari?
Kama ndugai aliweza yeyote Tz anaweza kuwaWewe hapana kamisaa una makandokando mengi
Vifuniko vya asali hahaMi hata wasithubutu kunipendekeza make biashara yangu ya nguo za kike hainipi stress.
Mara Pindi Chana huyoooTofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Samia ni mdini na mbaguzi anajaza waislam watupu.TEC susieni shughuli zote za samia mpaka ajirekebishe kama kipindi cha Vasco Dagama akaja kumuangukia Pengo kuwa anatengwa.Nadhani spika atakuwa si Mkristo.
😁Ohoooooo utachafua Hali ya hewa
Itakuwa hivi,speaker akitoka bara naibu atatoka visiwani na kinyume chake.ila ni kwa nia njema tuu ya kuimarisha MuunganoTofauti na miaka ya nyuma ambayo tumezoea kuona naibu spika akipewa nafasi kubwa ya kuwa spika hali hiyo itakuwa tofauti na Spika mpya atakuwa si maarufu kivile na uteuzi wa jina lake utashangaza wengi.
Mimi mwenyewe nimeshangaa niliposikia ndio lenyewe
Kwamba anaweza akaroga akaukwaa uwaziri au uspika?Bashiru usimuweke kwenye hilo kundi
Mpka wakati huu, unadhani karata anazocheza Bashiru ni za kawaida?Kwamba anaweza akaroga akaukwaa uwaziri au uspika?
Ile sura ni kina Ashraf Ghani kabisa. Wala milungi wale wanafana