Jina la Spika litashangaza wengi

Brekingi nyuzzzz !!!!!!!@@ni mzee wa ubwabwaa Hashim Rungwe Spunda
 
Popote watakapomtoa haina mashiko yoyote ... Hadi katiba mpya itakapomlinda Spika wa bunge la wananchi .... Wananchi hatuna mtu wetu.
 
Mara Pindi Chana huyooo
 
Atakuwa Steven Masselle kuwaridhisha kanda ya nyonyo
 
Itakuwa hivi,speaker akitoka bara naibu atatoka visiwani na kinyume chake.ila ni kwa nia njema tuu ya kuimarisha Muungano
 
kwa mlolongo ulivyo, nadhani anaweza kuwa familia ya Kikwete
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…