NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Simba sc imekua ikiruhusu magoli kirahisi sana (mepesi) Tena magoli mengine ni uzembe wa mabeki waliopewa jina kubwa kuliko uwezo wao (Ukuta wa Yericko).
Nimesikitishwa na mashabiki walioanza kumlaumu kipa Ayubu na kusema siyo kipa baada kufungwa goli la pili kwenye mechi dhidi ya Power dynamoo.
Lakini hakuna aliyepiga makelele na kusema kuwa beki wa kimataifa mcheza na jukwaa (inonga bacca) ndiyo alilitumbukiza kambani goli la kwanza kwa kua ni beki mcheza na majukwaa Hilo siyo tatizo.
Kuanzia beki namba mbili, tatu na mabeki wa kati Kuna shida kubwa sana katika uzuiaji na ukabaji wa mipira.
Jina "Ukuta wa Yericko" limeficha makosa makubwa sana ya mabeki, unakuta beki anafanya makosa lakini kwa kuwa kichwani Kuna neno Ukuta wa Yericko unakuta mashabiki wanatafuta mchawi mwingine na kuacha Ukuta wa biskuti ulioziba shimo la panya.
Kwa Ukuta huu wa Yericko unaoimbwa na kupambwa sidhani Kama utaweza kumzuia Al ahly.
Nimesikitishwa na mashabiki walioanza kumlaumu kipa Ayubu na kusema siyo kipa baada kufungwa goli la pili kwenye mechi dhidi ya Power dynamoo.
Lakini hakuna aliyepiga makelele na kusema kuwa beki wa kimataifa mcheza na jukwaa (inonga bacca) ndiyo alilitumbukiza kambani goli la kwanza kwa kua ni beki mcheza na majukwaa Hilo siyo tatizo.
Kuanzia beki namba mbili, tatu na mabeki wa kati Kuna shida kubwa sana katika uzuiaji na ukabaji wa mipira.
Jina "Ukuta wa Yericko" limeficha makosa makubwa sana ya mabeki, unakuta beki anafanya makosa lakini kwa kuwa kichwani Kuna neno Ukuta wa Yericko unakuta mashabiki wanatafuta mchawi mwingine na kuacha Ukuta wa biskuti ulioziba shimo la panya.
Kwa Ukuta huu wa Yericko unaoimbwa na kupambwa sidhani Kama utaweza kumzuia Al ahly.