NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #41
FICHA HII COMMENTS WATU WA 5G WASIJE KUONABrother, wew ni nabii wa football tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FICHA HII COMMENTS WATU WA 5G WASIJE KUONABrother, wew ni nabii wa football tz
NASIKIA SCOUT ALIKAA AIRPORT [emoji16]Scout wenu wa mchongo nasikia keshakula Kona, aliwaletea ayoubu, lakred na Jefferson, mpeni mangungu pesa awatafutie kipa[emoji1787][emoji1787]
Inafikirisha Sana.UKUTA WA YERICKO.
Waache kuiba wachezaji uwanja wa ndegeScout wenu wa mchongo nasikia keshakula Kona, aliwaletea ayoubu, lakred na Jefferson, mpeni mangungu pesa awatafutie kipa[emoji1787][emoji1787]
Nikweli wachezaji wa simba niwabovu sawa wanapata matokeo lakini timu haifurahishi kimchezoUkuta wa yeriko kwa sasa ni ukuta wa biscuit, Kila mechi bao na timu anazokutana Nazo ndo izo wakina prison vipi kimataifa itakuwaje?
AahaaaaaaWaache kuiba wachezaji uwanja wa ndege
LEO NAMUNGO FC WANGEKUA SERIOUS WANGEPATA POINT TATU MUHIMU.Nikweli wachezaji wa simba niwabovu sawa wanapata matokeo lakini timu haifurahishi kimchezo
HUYO JAMAAA ALIPOTEA TOKA SIMBA SC WALIPOPIGWA KONO LA NYANI [emoji2772][emoji16]Nilikuunga mkono,
Ninakuunga mkono,
Nitakuunga mkono.
MPAKA SASA UMEKWISHA TAMBUA.Wenye timu Yetu Tumetulia Kimya.... Timu mpaka muda huu ipo Vizuri , Inaendelea Kuelewana Kazi Mbele kwa mbele...
Sasa Utopolo ndio Viherehere... Mara Robertino, mara Kapombe ,mara Inonga ,mara Che Malon.....
Baada ya Xmas itajulikana Wapi pabovu..
Nani ana beki fupi fupi...
Nani ana viungo bora...
Mwarabu kawamanua kudadadadeqENDELEA HIVYO HIVYO
KITAMBO SANA NDUGU YANGU SIJAKUONA ULIKUA WAPI [emoji2772][emoji16]Mwarabu kawamanua kudadadadeq
UKUTA WENU WA YERICKO METOBOLEWAMwarabu kawamanua kudadadadeq