Jina la "Ukuta wa Yericko " ni jina ambalo limekwenda kuficha uozo wa mabeki wa Simba SC

Jina la "Ukuta wa Yericko " ni jina ambalo limekwenda kuficha uozo wa mabeki wa Simba SC

Wenye timu Yetu Tumetulia Kimya.... Timu mpaka muda huu ipo Vizuri , Inaendelea Kuelewana Kazi Mbele kwa mbele...

Sasa Utopolo ndio Viherehere... Mara Robertino, mara Kapombe ,mara Inonga ,mara Che Malon.....

Baada ya Xmas itajulikana Wapi pabovu..
Nani ana beki fupi fupi...
Nani ana viungo bora...
MPAKA SASA UMEKWISHA TAMBUA.
 
Back
Top Bottom