Jina la "Ukuta wa Yericko " ni jina ambalo limekwenda kuficha uozo wa mabeki wa Simba SC

NAKAZIA
 
Unaweza nawe kumpa hata dada yako ikikupendeza. Sio lazma uungane nao
 
Ukuta wa yeriko kwa sasa ni ukuta wa biscuit, Kila mechi bao na timu anazokutana Nazo ndo izo wakina prison vipi kimataifa itakuwaje?
 
KWELI KABISA.
 
Nadhani kwanza tungeelewa

JE uwezo wa Golikipa wa Simba unatosha kusimama langoni?????

Hivi Ally Salum ni wa kusimama Langoni kucheza za ALHLY AU WYDAD seriously??????

Hatuo ni kuwa Simba ilifanya makosa kwenye usajili kuhangaika hangaika na makipa kisa 10%.

unamuacha Golikipa kama John Noble unaangaika na Akina.

1. Ally salum
2.Ayoub Lakred.
3. Luis Santos.
4.jeffason Luis.
5. Hussein Abel

Aibu ya uongozi wa Simba
 
Scout wenu wa mchongo nasikia keshakula Kona, aliwaletea ayoubu, lakred na Jefferson, mpeni mangungu pesa awatafutie kipa🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…