NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
NAKAZIAHuyo mnayemuita ukuta wa Yeriko ukimchungunza kwa makini utaona ni mzuri kublock mipira yaani one v one kumpita huwa ni ngumu. Udhaifu wake sasa, jamaa anakuwa overconfident to the extent anaexpose makosa kibao hususani anapokuwa na mpira Passing zake hususani katika eneo lake huwa zinatia shaka. Na akiendelea hivyo balls in the net zitaokotwa sana.
Unaweza nawe kumpa hata dada yako ikikupendeza. Sio lazma uungane naoSimba sc imekua ikiruhusu magoli kirahisi sana (mepesi) Tena magoli mengine ni uzembe wa mabeki waliopewa jina kubwa kuliko uwezo wao (Ukuta wa Yericko).
Nimesikitishwa na mashabiki walioanza kumlaumu kipa Ayubu na kusema siyo kipa baada kufungwa goli la pili kwenye mechi dhidi ya Power dynamoo.
Lakini hakuna aliyepiga makelele na kusema kuwa beki wa kimataifa mcheza na jukwaa (inonga bacca) ndiyo alilitumbukiza kambani goli la kwanza kwa kua ni beki mcheza na majukwaa Hilo siyo tatizo.
Kuanzia beki namba mbili, tatu na mabeki wa kati Kuna shida kubwa sana katika uzuiaji na ukabaji wa mipira.
Jina "Ukuta wa Yericko" limeficha makosa makubwa sana ya mabeki, unakuta beki anafanya makosa lakini kwa kuwa kichwani Kuna neno Ukuta wa Yericko unakuta mashabiki wanatafuta mchawi mwingine na kuacha Ukuta wa biskuti ulioziba shimo la panya.
Kwa Ukuta huu wa Yericko unaoimbwa na kupambwa sidhani Kama utaweza kumzuia Al ahly.
HUNA AKILI NA HUNA MARINDA [emoji41]Unaweza nawe kumpa hata dada yako ikikupendeza. Sio lazma uungane nao
Ukuta wa yeriko kwa sasa ni ukuta wa biscuit, Kila mechi bao na timu anazokutana Nazo ndo izo wakina prison vipi kimataifa itakuwaje?Simba sc imekua ikiruhusu magoli kirahisi sana (mepesi) Tena magoli mengine ni uzembe wa mabeki waliopewa jina kubwa kuliko uwezo wao (Ukuta wa Yericko).
Nimesikitishwa na mashabiki walioanza kumlaumu kipa Ayubu na kusema siyo kipa baada kufungwa goli la pili kwenye mechi dhidi ya Power dynamoo.
Lakini hakuna aliyepiga makelele na kusema kuwa beki wa kimataifa mcheza na jukwaa (inonga bacca) ndiyo alilitumbukiza kambani goli la kwanza kwa kua ni beki mcheza na majukwaa Hilo siyo tatizo.
Kuanzia beki namba mbili, tatu na mabeki wa kati Kuna shida kubwa sana katika uzuiaji na ukabaji wa mipira.
Jina "Ukuta wa Yericko" limeficha makosa makubwa sana ya mabeki, unakuta beki anafanya makosa lakini kwa kuwa kichwani Kuna neno Ukuta wa Yericko unakuta mashabiki wanatafuta mchawi mwingine na kuacha Ukuta wa biskuti ulioziba shimo la panya.
Kwa Ukuta huu wa Yericko unaoimbwa na kupambwa sidhani Kama utaweza kumzuia Al ahly.
HUNA AKILI NA HUNA MARINDA.Unaweza nawe kumpa hata dada yako ikikupendeza. Sio lazma uungane nao
KWELI KABISA.Che malone ni mzito sana hasa akiwa na mpira akifanyiwa presha uwa hajiamini anapoteza mipira kilrahisi.
Mechi na Mtibwa alifanyiwa presha akafungisha, kule Zambia na apa Dar amefanyiwa presha na kupoteza mipira kwenye maeneo ya hatari zaidi ya mara moja bahati yake haja adhibiwa.
Kwenye hatua za uko mbele kama ataendelea kuwa mzito, jumba bovu liko njiani kumwangukia.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
HUO UKUTA HAMNA KITU PALE.Wanasema ukuta wa jeriko kumbe wameficha uozo Kuna magoli pale ya kutosha kwa timu inayojitambua lazima wataokota nyingi kunyavu!
Aliyeimanua Yanga naye amanuliwa kwa NkapaHUO UKUTA HAMNA KITU PALE.
JIKITE KWENYE HOJA.Aliyeimanua Yanga naye amanuliwa kwa Nkapa
Scout wenu wa mchongo nasikia keshakula Kona, aliwaletea ayoubu, lakred na Jefferson, mpeni mangungu pesa awatafutie kipa🤣🤣Nadhani kwanza tungeelewa
JE uwezo wa Golikipa wa Simba unatosha kusimama langoni?????
Hatuo ni kuwa Simba ilifanya makosa kwenye usajili kuhangaika hangaika na makipa kisa 10%.
unamuacha Golikipa kama John Noble unaangaika na Akina.
1. Ally salum
2.Ayoub Lakred.
3. Luis Santos.
4.jeffason Luis.
5. Hussein Abel
Aibu ya uongozi wa Simba
Mume wenu kamanuliwa janaJIKITE KWENYE HOJA.
ENDELEA HIVYO HIVYOMume wenu kamanuliwa jana
Brother, wew ni nabii wa football tzENDELEA HIVYO HIVYO
SASA WAMEKUBALIUlisema mkuu, sasa naona uozo mtupu.