blaming game 21th century?
ilunga kafa akilalamika tu hajafanya 'initiatives' zozote.wewe pia umebaki kulaumu tokea uhuru mpaka sasa.Umechukua hatua gani kuleta mabadiliko chanya kwenye sekta ya elimu?
mliitwa dodoma na jk2 na mkaulizwa mnataka nini?,bakwata mkataka tende nyingi wakayi wa mfungo na majamvi.
wewe unajinasibu sio bakwata,haya hizo taasisi nyingine unazozikubali zimefanya nini?,utasikia tulitaka kujiunga na oic,mara gadafi alitaka kujenga zikatokea figisu.
nyinyi mmechukua jukumu gani? hizi blaming games hazitawafakisha popote.
Lukubuzyo,
Sijui kwa nini umetumia neno, ''kulalamika.''
Kitu ambacho tumekifanya na ndicho kilikuwa na umuhimu mkubwa sana baada ya kujua
kuwa historia yetu ilikuwa imefutwa ni kuhakikisha kuwa historia ya Waislam inaandikwa
na kuhifadhiwa ili ibaki kuwa historia ya nchi yetu.
Ukiwa unataka historia ya BAKWATA fungua uzi tuchangie lakini hapa hoja iliyoko mezani
ni kwa nini wanahistoria waliitia mkono historia ya kweli ya Vita Vya Majimaji kwa kubadilisha
majina ya wapiganaji.
Unauliza hatua gani mimi nimechukua.
Hatua niliyochukua mimi ni kuandika historia ya kweli ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Nimeandika vitabu na paper na nimezungumza katika Vyuo Vikuu Afrika Ulaya, Marekani.
Kuna mengine umeandika kwa kejeli ni tabu kwangu kujibu kejeli na khasa ikiwa na hilo
jambo lenyewe halituhusu.
Katika sekta ya elimu Waislam wamepata vipingamizi vingi sana kutoka serikalini.
Nakupa ''chronology,'' fupi labda itaweza kukufikirisha:
1. 1929 African Association founded in Dar es Salaam
2. 1933 Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika founded
3. 1947 East African Muslim Welfare Society founded
4. 1940 Sheikh Hassan bin Amir relocates to Dar es Salaam from Zanzibar and sets up prominent Madrasas and Zawiyya in Tanganyika, Malawi, Rwanda, Burundi and Eastern Congo
5. 1950 Dr. Kyaruzi and Abdulwahid Sykes elected as TAA President and Secretary respectively
6. 1953 Julius Nyerere and Abdul Sykes elected TAA President and Vice President respectively
7. 1954 TANU founded in Dar es Salaam with Nyerere and John Rupia as President and Vice President respectively
8. 1962 First Muslim Congress
9. 1963 Second Muslim Congress
10. 1963 TANU Elders Council dissolved by TANU
11. 1964 EAMWS delegation led by Sheikh Hassan bin Amir pays visit to Muslim countries in Middle East. President Gamal Abdel Nasser of Egypt agrees to build a fully fledged university for Muslims in Tanganyika
12. 1968 Foundation Stone is laid for the EAMWS Muslim University
13. 1968 EAMWS is declared ‘’illegal society’’ and banned
14. 1968 BAKWATA founded by the government to replace EAMWS Muslim University Project is scrapped off.
15. 1970s Government refuse permission to allow Organisation of Islamic Conference (OIC) to build a Muslim University in Tanzania. OIC builds the university in Mbale, Uganda.
16. 1981 Government refuse to register four Muslim Schools as seminaries
17. 1982 Government refuse to register Masjid Quba Muslim School