Jina lake ni Abdulrauf Songea Mbano siyo Songea Mbano Sultani wa wangoni wakati wa vita vya Majimaji 1905 - 1907

Jina lake ni Abdulrauf Songea Mbano siyo Songea Mbano Sultani wa wangoni wakati wa vita vya Majimaji 1905 - 1907

Eyce swali ninalouliza mimi ni kwa nini pamekuwa na juhudi za kufuta majina ya Kiislamu?

Ikiwa hujui sababu basi si lazima ujadili.
Huwezi kuendelea kung'ang'ania ni majina ya kiislamu kama huwezi kudhihirisha uislamu wao kwa kuyajibu maswali yangu na kwa nini yawe ni majina ya kiislamu na si kiarabu !!!!!........

Ni nani mwenye jitihada hizo ????....

Kama kungekuwa na jitihada hizo mbona mpaka miaka ya 2000 mliikuta hiyo historia ambayo ni miaka 100 baada ya hiyo vita kutokea na zaidi ya miaka 40 ya tanganyika kupata uhuru wake !!!!......

Toka nimezaliwa hadi kufikia umri huu sijawahi kusikia jina la chief wa kihaya au makabila ya kanda ya ziwa yakiandikwa kwa majina ya kiingereza ambayo walikuwa nayo lakini yalikuwa ni utambulisho tu pasi na kuwa na heshima kimila ama kijamii...
Pamoja na hii hali sijawahi kusikia popote wakristo wakipigania hayo majina kuwa historia iliyameza au kuyafuta makusudi
Je, kwa nini iwe kwa waislamu tu na si wakristo ????........
 
Huwezi kuendelea kung'ang'ania ni majina ya kiislamu kama huwezi kudhihirisha uislamu wao kwa kuyajibu maswali yangu na kwa nini yawe ni majina ya kiislamu na si kiarabu !!!!!........

Ni nani mwenye jitihada hizo ????....

Kama kungekuwa na jitihada hizo mbona mpaka miaka ya 2000 mliikuta hiyo historia ambayo ni miaka 100 baada ya hiyo vita kutokea na zaidi ya miaka 40 ya tanganyika kupata uhuru wake !!!!......

Toka nimezaliwa hadi kufikia umri huu sijawahi kusikia jina la chief wa kihaya au makabila ya kanda ya ziwa yakiandikwa kwa majina ya kiingereza ambayo walikuwa nayo lakini yalikuwa ni utambulisho tu pasi na kuwa na heshima kimila ama kijamii...
Pamoja na hii hali sijawahi kusikia popote wakristo wakipigania hayo majina kuwa historia iliyameza au kuyafuta makusudi
Je, kwa nini iwe kwa waislamu tu na si wakristo ????........
Eyce sina tatizo na fikra zako lakini huko Uhayani wakati natafiti historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika nimekuta majina haya: Sued Kagasheki, Abdallah Rutabanzibwa, Ali Migeyo kwa kutaja majina machache...

Mohamed Said: Search results for ali migeyo
 
Eyce sina tatizo na fikra zako lakini huko Uhayani wakati natafiti historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika nimekuta majina haya: Sued Kagasheki, Abdallah Rutabanzibwa, Ali Migeyo kutaja machache...
Mohamed Said: Search results for ali migeyo
Hongera sana kwa kupata majina hayo kwa maana hata ukienda muleba kagera ...kuna nshamba ambayo ni kama ngome ya waislamu na Rubya ambayo ni ya wakristo hivyo uhayani kuna hizo zote mbili

Lakini nimejua kitu kuwa upo biased sana na huoni kingine katika historia zaidi ya uislamu na mbaya zaidi hujibu maswali zaidi kuing'ang'ania misimamo ambayo haina fact kama sharia ...... wewe ni mtu mwenye akili sana lakini udini kwa kiasi fulani umekulevya ila jua tu kuwa hata waliopandikiza mbegu ya mauaji ya Rwanda hawakujua kuwa wanaandaa mauti ya watu hapo mbeleni ...

Unachokitengeneza ni kama bomu la wahutu kuwa wao wana stahiki zaidi kihistoria hivyo wanapaswa kupata more kuliko wengineo na usidhani hizo historia unazoziandika zinaishia pale unapokomea wino wako bali zinaganda na kuleta maafa katika kizazi kijacho...
Mungu wangu ni wa amani na ninaomba akufunulie mazuri ya hekima katika uzee wako ili upate kuona ni kizazi gani unakiandaa
 
Eyce,
Hakika katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika Waislam walitawala.

Kama wewe una historia nyingine kinyume ya hii tuwekee tusome.
 
Mimi maswali yangu ni haya

1. Katika uislamu kuna kitu kinaitwa shirki ... ukiangalia jina majimaji limetokana na shirki ya kuamini risasi ya mjerumani kugeuka maji je,kama hawa washiriki waliuamini uislamu zaidi kuliko njia zao za kiasili ilikuwaje wakahadaika na kuingia katika vita huku wakiamini watalindwa na shirki na sio Allah ???......
Na hili swali pia linatokana na hiyo barua ambayo umeionesha maana inaonekana kama hawa watu walikuwa ni waislamu wazuri

2. Kuna haja ama umuhimu gani wa kuiandika historia ya nchi yetu ikiegemea katika udini na si utaifa !!!!!!....
Je , huoni kama unataka kutengeneza diversity na sio unity ambayo kwa kiasi flani tunayo

Je,huoni hiyo ni mbegu ambayo haina tofauti kubwa na ile iliyopandikizwa rwanda na matokeo tunayajua

3. Wewe ni mfuasi wa historia ya Tanzania au ni mfuasi wa historia ya waislamu ndani ya Tanzania maana ni mara chache kuona unatoa historia isiyo na mlengo wa uislamu
Jina majimaji halitokani nakuamini ukisema maji risasi zinakua maji huo niuongo wa mchana kweupe.bali ktk wapiganaji wavita kuna waliotoka kuhiji makka walirudi namaji ya zamzam,ndio wakawa wanaambiana tunywe maji yazamza tupate baraka.ndio likapatikana jina lamajimaji.namiongoni mwao hao waliotoka makka ni shekh kinjeketile.nawala sio mganga kama ulivyoongopewa.
 
Kama hilo swali wanaweza kulijibu kwa maana ilihusu imani yao je, inakuwaje wewe uwasemee au uwatwishe imani kwa sababu ya majina ambayo sijaona pahala popote kama yalitumika kama utambulisho wao katika jamii zao ???.....

Wazungu waliuleta ukoloni lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa waarabu walikuja na utumwa ... wote walikuwa na lengo la unyonyaji wa waafrika na waliwatumia hata wenyeji katika hila zao

Wageni wote hao walikuwa na taratibu za kuwapa majina yenye asili yao ,wenyeji wote waliowakuta na pengine kuwapa elimu ambayo ilitumia maandishi ya lugha zao kama kiarabu, kireno au kiingereza lakini si kwamba sehemu zote waliweka pandikizi ya imani zao hususani katika sehemu ambazo zilikuwa kama transit tu ...

Nimeishi songea hivyo kwa kiasi fulani napaelewa... kulikuwa na biashara ya utumwa ambapo wangoni walikuwa wakiyauza makabila mengineyo hususani wayao na hata leo kuna utani baina ya wangoni na wayao kutokana historia hiyo ..
Je , huoni kuwa biashara hii pengine iliweza kuleta ustaarabu wa kiarabu kwa wangoni kama lugha ya kimaandishi na majina ili kurahisha shughuli hiyo pasipo kuihusisha dini ya kiislamu maana uarabu si uislamu !!!!.....

Kuna mji wa peramiho ambao upo songea ambao utaona ustaarabu wa kikatholiki na wala hutopaswa kuuliza kama kulitokea ukristo pale je, huko songea mbali na kuwa na majina hayo ,kuna ushahidi gani mwingine wa kudhihirika kuwako kwa uislamu kama ilivyo kwa mikoa ya pwani ama tabora .....
Wewe ni ktk wale wanaoamini waarabu walikua wanawafunga minyororo waafrika nakuwapeleka masokoni kama nyanya vile au mbuzi èee?sasa hapa tumia akili ndogo tu!nikwanini waafrika hatuna ktk histori yetu sehemu inayoonyesha tumewahi kupigana vita nawaarabu?na kinyume chake tukapigana na wazungu?bara lote laafrika sio ukanda huu tu!nitafutie ktk usomi wake.yaani alietufunga minyororo hatujapigana nae ila aliekua anatujengea reli na mahospitali tukapigana nae!!!mmmm haya nimatango yaulaya
 
Jina majimaji halitokani nakuamini ukisema maji risasi zinakua maji huo niuongo wa mchana kweupe.bali ktk wapiganaji wavita kuna waliotoka kuhiji makka walirudi namaji ya zamzam,ndio wakawa wanaambiana tunywe maji yazamza tupate baraka.ndio likapatikana jina lamajimaji.namiongoni mwao hao waliotoka makka ni shekh kinjeketile.nawala sio mganga kama ulivyoongopewa.
Mmmmmh
 
Wewe ni ktk wale wanaoamini waarabu walikua wanawafunga minyororo waafrika nakuwapeleka masokoni kama nyanya vile au mbuzi èee?sasa hapa tumia akili ndogo tu!nikwanini waafrika hatuna ktk histori yetu sehemu inayoonyesha tumewahi kupigana vita nawaarabu?na kinyume chake tukapigana na wazungu?bara lote laafrika sio ukanda huu tu!nitafutie ktk usomi wake.yaani alietufunga minyororo hatujapigana nae ila aliekua anatujengea reli na mahospitali tukapigana nae!!!mmmm haya nimatango yaulaya
Ukweli ni upi kuhusu utawala wa waarabu?
 
Huwezi kuendelea kung'ang'ania ni majina ya kiislamu kama huwezi kudhihirisha uislamu wao kwa kuyajibu maswali yangu na kwa nini yawe ni majina ya kiislamu na si kiarabu !!!!!........

Ni nani mwenye jitihada hizo ????....

Kama kungekuwa na jitihada hizo mbona mpaka miaka ya 2000 mliikuta hiyo historia ambayo ni miaka 100 baada ya hiyo vita kutokea na zaidi ya miaka 40 ya tanganyika kupata uhuru wake !!!!......

Toka nimezaliwa hadi kufikia umri huu sijawahi kusikia jina la chief wa kihaya au makabila ya kanda ya ziwa yakiandikwa kwa majina ya kiingereza ambayo walikuwa nayo lakini yalikuwa ni utambulisho tu pasi na kuwa na heshima kimila ama kijamii...
Pamoja na hii hali sijawahi kusikia popote wakristo wakipigania hayo majina kuwa historia iliyameza au kuyafuta makusudi
Je, kwa nini iwe kwa waislamu tu na si wakristo ????........
Mi ninavyojua waarabu walikuja wakawakuta hawa watawala wana majina yao ya asili,walipokuja hao waarabu ndipo walipokuja na hayo majina ya kidini ikiwa ni pamoja na kuineza dini yao,kwa vyovyote hayo majina ya kiislamu yaliotajwa kwenye mada ni huenda walipewa tu na hao waarabu na sio majina halisi waliozaliwa nayo
 
Lukubuzyo,
Sijui kwa nini umetumia neno, ''kulalamika.''

Kitu ambacho tumekifanya na ndicho kilikuwa na umuhimu mkubwa sana baada ya kujua
kuwa historia yetu ilikuwa imefutwa ni kuhakikisha kuwa historia ya Waislam inaandikwa
na kuhifadhiwa ili ibaki kuwa historia ya nchi yetu.

Ukiwa unataka historia ya BAKWATA fungua uzi tuchangie lakini hapa hoja iliyoko mezani
ni kwa nini wanahistoria waliitia mkono historia ya kweli ya Vita Vya Majimaji kwa kubadilisha
majina ya wapiganaji.

Unauliza hatua gani mimi nimechukua.
Hatua niliyochukua mimi ni kuandika historia ya kweli ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Nimeandika vitabu na paper na nimezungumza katika Vyuo Vikuu Afrika Ulaya, Marekani.

Kuna mengine umeandika kwa kejeli ni tabu kwangu kujibu kejeli na khasa ikiwa na hilo
jambo lenyewe halituhusu.

Katika sekta ya elimu Waislam wamepata vipingamizi vingi sana kutoka serikalini.
Nakupa ''chronology,'' fupi labda itaweza kukufikirisha:

1. 1929 African Association founded in Dar es Salaam
2. 1933 Al Jamiatul Islamiyya Fi Tanganyika founded
3. 1947 East African Muslim Welfare Society founded
4. 1940 Sheikh Hassan bin Amir relocates to Dar es Salaam from Zanzibar and sets up prominent Madrasas and Zawiyya in Tanganyika, Malawi, Rwanda, Burundi and Eastern Congo
5. 1950 Dr. Kyaruzi and Abdulwahid Sykes elected as TAA President and Secretary respectively
6. 1953 Julius Nyerere and Abdul Sykes elected TAA President and Vice President respectively
7. 1954 TANU founded in Dar es Salaam with Nyerere and John Rupia as President and Vice President respectively
8. 1962 First Muslim Congress
9. 1963 Second Muslim Congress
10. 1963 TANU Elders Council dissolved by TANU
11. 1964 EAMWS delegation led by Sheikh Hassan bin Amir pays visit to Muslim countries in Middle East. President Gamal Abdel Nasser of Egypt agrees to build a fully fledged university for Muslims in Tanganyika
12. 1968 Foundation Stone is laid for the EAMWS Muslim University
13. 1968 EAMWS is declared ‘’illegal society’’ and banned
14. 1968 BAKWATA founded by the government to replace EAMWS Muslim University Project is scrapped off.
15. 1970s Government refuse permission to allow Organisation of Islamic Conference (OIC) to build a Muslim University in Tanzania. OIC builds the university in Mbale, Uganda.
16. 1981 Government refuse to register four Muslim Schools as seminaries
17. 1982 Government refuse to register Masjid Quba Muslim School
mpk leo zanzibar wanatoa shule za mwsho 6/7 ktk top10 za shule zilizofanya vibaya.kusini ndo usiseme huko...21st C bado una na blaming game,hizo hazitawafikisha popote take initiatives...wacha porojo za kkoo huu co wakati wake.
 
Mkuu,uwe unaandika kwa facts,achana na udini,madai yako hayana historical/scientific proof
 
Ndugu zangu napenda kuwakumbusha nini mimi nimekiona katika historia ya Majimaji.

Nilichogundua ni kuwa kumekuwepo na juhudi za makusudi za kupotosha historia hiyo.

Jina lake ni Abdulrauf Songea Mbano lakini walioandika hustoria hiyo jina hili hawakulipenda wakaliondoa.

Hii mosi.

Pili ni kuwa wale majemadari wa Majimaji walionyongwa majina yao ya Kiislam yaliyokuwepo awali nayo yakafutwa.

Someni makala ya Sheikh Ilunga inayoeleza aliyoshuhudia majina hayo kwa macho yake mara ya kwanza alipofika Kumbukumbu ya Majimaji Mahenge, Songea na aliporudi akakuta yote yamebadilishwa.

Nini mukusudio ya haya yote?
sasa ilunga atatoa kitu gani kipya wakati ni mfia dini kama wewe..yeye mpaka anakufa anazurura analalamika et anaonewa mfumo kristo...porojo zake angejenga hata nursery.
 
Wewe ni ktk wale wanaoamini waarabu walikua wanawafunga minyororo waafrika nakuwapeleka masokoni kama nyanya vile au mbuzi èee?sasa hapa tumia akili ndogo tu!nikwanini waafrika hatuna ktk histori yetu sehemu inayoonyesha tumewahi kupigana vita nawaarabu?na kinyume chake tukapigana na wazungu?bara lote laafrika sio ukanda huu tu!nitafutie ktk usomi wake.yaani alietufunga minyororo hatujapigana nae ila aliekua anatujengea reli na mahospitali tukapigana nae!!!mmmm haya nimatango yaulaya
kwel ww pumbav dini imekufanya uwe fala mpaka unakataa ukweli.
 
Mi ninavyojua waarabu walikuja wakawakuta hawa watawala wana majina yao ya asili,walipokuja hao waarabu ndipo walipokuja na hayo majina ya kidini ikiwa ni pamoja na kuineza dini yao,kwa vyovyote hayo majina ya kiislamu yaliotajwa kwenye mada ni huenda walipewa tu na hao waarabu na sio majina halisi waliozaliwa nayo
Na mimi ndicho nilichomaanisha ...
Ila nimecheka leo yaani hadi kinjekitile alikuwa sheikh aliyetoka kuhiji mecca na wenzie hadi kuleteana na maji ya zamza ili wapate baraka za allah [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Nimeamini hakuna ulevi mbaya kama wa dini
 
Na mimi ndicho nilichomaanisha ...
Ila nimecheka leo yaani hadi kinjekitile alikuwa sheikh aliyetoka kuhiji mecca na wenzie hadi kuleteana na maji ya zamza ili wapate baraka za allah [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Nimeamini hakuna ulevi mbaya kama wa dini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usishangae,utakuja utafiti mwingine utaambiwa yale yalikua ni maji ya baraka kinjektile alikua padre alitoka nayo Roma
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usishangae,utakuja utafiti mwingine utaambiwa yale yalikua ni maji ya baraka kinjektile alikua padre alitoka nayo Roma
Hahaaaaaa hata hili jina la kinjikitile litakuwa si sahihi kabisaaa...

Watu watofautishe FACTS na OPINIONS...
Sijawahi kuona mtu anapinga uwepo wa utumwa katika pwani ya Afrika mashariki yaani makumbusho ya masoko yote ya utumwa yaliyopo ;bado kuna mtu anaamini huu ni uzushi ilhali anakubali kuwa ukoloni ulikuwepo pasipo kujua kuwa utumwa ulikufa kutokana na maandalizi ya ukoloni katika Afrika......

Ukristu sio uzungu na uarabu si uislamu ...sijui ni nini kigumu watu kuelewa
 
Hahaaaaaa hata hili jina la kinjikitile litakuwa si sahihi kabisaaa...

Watu watofautishe FACTS na OPINIONS...
Sijawahi kuona mtu anapinga uwepo wa utumwa katika pwani ya Afrika mashariki yaani makumbusho ya masoko yote ya utumwa yaliyopo ;bado kuna mtu anaamini huu ni uzushi ilhali anakubali kuwa ukoloni ulikuwepo pasipo kujua kuwa utumwa ulikufa kutokana na maandalizi ya ukoloni katika Afrika......

Ukristu sio uzungu na uarabu si uislamu ...sijui ni nini kigumu watu kuelewa
Ni kweli,tukisema kwamba biashara ya utumwa haikuwepo wakati vielelezo vipo ni kujifanya tu kichwa ngumu
 
Na mimi ndicho nilichomaanisha ...
Ila nimecheka leo yaani hadi kinjekitile alikuwa sheikh aliyetoka kuhiji mecca na wenzie hadi kuleteana na maji ya zamza ili wapate baraka za allah [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Nimeamini hakuna ulevi mbaya kama wa dini
Eyce,
Unasema hayo kwa kuwa huijui historia ya Maji Maji.
Nami wala sikulaumu nitakachofanya ni kukuonyesha ili uifahamu historia ya watu hawa.

Nakuwekea hapa nukuu kutoka kwa wanahistoria Wazungu walivyomwandika Songea Mbano
tena kwa kumtaja kwa jina la Rauf:

''This letter written to Sheikh and Sultan Mataka bin Hamin Massaninga reads:

Sultan Songea bin Ruuf writes: To the Shaykh and Sultan Mataka bin Hamis Massaninga. Greetings, etc. I am sending you a letter through Kazembe. We have received an order from God that the Europeans must leave the country. We are in the process of fighting them here. I believe that we have long since been reconciled,[so] send me your children, so that we may make an alliance. I had wanted to send you some cattle as a gift, but am not able to

do so, as the war which God desired is continuing. Send me a hundred riflemen, and support me in storming the Boma (Songea).

I am also sending you a flask of the Prophet Muhammad, which contains the means for conquering the Europeans. Have no doubt about it, it possessed great power. And when we have taken the Boma (Songea), we shall go on the stations on the Nyasa together, you and I. Now, let us forget our old quarrels.

This bottle, with a da’wa, has been sent by Chinyalanyala himself, the war leader. He also sends the container (kombe), and sends you many greetings.

If your men will come, then Chinyalanyala himself will come and will give you many of the holy things.

Hassan bin Isma’il greets you.

Many salutations,

Sultan Songea bin Ruuf.” [1]

[1] C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa’, Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p.58.

Barua hii aliyoandikiwa Sheikh, Sultan Mataka bin Hamin Massaninga inasema:

Sultan Songea bin Ruuf anasema: Kwa Sheikh Sultan Mataka bin Hamin Massaninga. Asalaam Aleikum, Ninakuletea barua kupitia Kazembe. Tumepata amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu kuwa Wazungu lazima waondoke nchini. Tupo katika kupigananao hapa. Naamini tumeshapatana muda mrefu, (kwa hiyo) niletee wanao, ili tufanye ushirikiano. Nilitaka kukuletea mifugo kama zawadi, lakini sipo katika hali ya kuweza kufanya hivyo, kwa kuwa vita ambavyo Mwenyezi Mungu amevitaka vinaendelea. Niletee watumiaji bunduki mia moja, na niunge mkono katika kulivamia Boma (Songea).

Ninakuletea chupa ya Mtume Muhammad, ambayo ndani yake ipo nguvu ya kuwashinda Wazungu. Usiwe na shaka nayo, ina uwezo mkubwa. Tutakapoliteka Boma (Songea), tutakwenda kwenye vituo katika Nyasa pamoja, mimi na wewe. Hivi sasa tusahau ugomvi wetu wa zamani.

Chupa hii, na dawa, imeletwa na Chinyalanyala mwenyewe, kiongozi wa vita. Ameleta vilevile kombe, na anakupa salamu nyingi.

Endapo watu wako watakuja, Chinyalanyala mwenyewe atafika na atakupa vitu vingi vilivyo vitukufu.

Hassan bin Ismaíil anakusalimu.

Salam nyingi,

Sultan Songea bin Ruuf.

Eyce,
Sasa kitu cha kushangaza ni kuwa hawa majemadari wote waliotajwa katika
barua hii walinyongwa lakini majina haya yote yaliondolewa katika ile
orodha ya awali iliyokuwapo katika Makumbusho ya Vita Vya Maji Maji.

Kwa kufanya hivyo historia yote imepotezwa.
 
sasa ilunga atatoa kitu gani kipya wakati ni mfia dini kama wewe..yeye mpaka anakufa anazurura analalamika et anaonewa mfumo kristo...porojo zake angejenga hata nursery.
Lukubuzo,
Unaandika kwa ghadhabu na hamaki zinatoa utamu wa mjadala.

Unatumia maneno ya kifedhuli, ''mfia dini,'' hapana haja ya haya.

Tujadiliane kwa heshima na staha ili sote tufaidike katika mjadala
huu.

Ilunga si kuwa alikuwa na chekechea bali alikuwa na sekondari na
madras pia akisomesha dini.

Ilunga ni alim, yaani msomi hawezi kuwa mtu wa porojo.

Mimi nilikuwa kila nikiwa Mwanza nahudhuria darsa zake kuongeza
elimu.

Nakuwekea picha ya Sheikh Ilunga niliyompiga shuleni kwake mwaka
2010 akisomesha:

Ikiwa unataka kumfahamu Sheikh Ilunga tafadhali ingia hapo chini:
Mohamed Said: KIFO CHA SHEIKH ILUNGA HASSAN KAPUNGU NI MSIBA KWA VIJANA

ILUNGA%2BMADRAS.JPG
 
mpk leo zanzibar wanatoa shule za mwsho 6/7 ktk top10 za shule zilizofanya vibaya.kusini ndo usiseme huko...21st C bado una na blaming game,hizo hazitawafikisha popote take initiatives...wacha porojo za kkoo huu co wakati wake.
Lukubuzo,
Huijui historia ya elimu ya Zanzibar...
Haya unayoyaona sasa ni matokeo ya Mapinduzi.

Zanzibar ikiongoza Afrika ya Mshariki katika elimu.
In Shaa Allah nitakufahamisha...
 
Back
Top Bottom