Jina lako JF (ID) ina maana gani na kwanini umejiita?

Jina lako JF (ID) ina maana gani na kwanini umejiita?

Ni aka nilipewa nikiwa advance na washkaji. jina likapaa zaidi nikiwa chuo.,kuanzia mwny nyumba ,hostel mates wakawa wananijua kwa jina hilo. nilikuwa napenda kuna a girl wa next door basi utakuta anapita kwwny corridor anaita hv kimadaha
"sparta"
mpk leo wadada wa chuo kwa simu wakinipigia simu huniita kwanza Sparta then na lisauti langu huwa naiitikia namna fulani hivi.

ila huwa sielewi yule mwamba aliona nn akaniita Sparta ingali me ni mpole sana huwezi nidhania kama ni mpole ukisikia jina.
anyways nikajipa jina hilo Jf.
Noted [emoji3578]
 
Ni aka nilipewa nikiwa advance na washkaji. jina likapaa zaidi nikiwa chuo.,kuanzia mwny nyumba ,hostel mates wakawa wananijua kwa jina hilo. nilikuwa napenda kuna a girl wa next door basi utakuta anapita kwwny corridor anaita hv kimadaha
"sparta"
mpk leo wadada wa chuo kwa simu wakinipigia simu huniita kwanza Sparta then na lisauti langu huwa naiitikia namna fulani hivi.

ila huwa sielewi yule mwamba aliona nn akaniita Sparta ingali me ni mpole sana huwezi nidhania kama ni mpole ukisikia jina.
anyways nikajipa jina hilo Jf.
Au ulikua chairman wa CHAPUTA 😂😂🤣🤣
Ukawa unapeperusha vyema bendera ya chama.....Natania in JPM Voice....

Maana SPARTACUS ni lipicha la series za kibabe na Kuna sexual intercourse scene nyingi huwezi angalia na mzazi au ndugu mnao heshimiana nao...
 
MATIC_

nilipenda position and playing style ya NEMANJA MATIC toka yupo chelsea mpaka anakwenda MAN U.... ikabidi na mm nijiite matic nikienda mazoez kwenye boli..
 
MATIC_

nilipenda position and playing style ya NEMANJA MATIC toka yupo chelsea mpaka anakwenda MAN U.... ikabidi na mm nijiite matic nikienda mazoez kwenye boli..
[emoji123][emoji3578]
 
Back
Top Bottom