NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
- #201
Safi sana mkuu [emoji123]Siku zote nimekuwa wa mwisho kuelewa mambo
Hivyo hulazimika kujifunza taratibu ili niweze kuelewa [emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana mkuu [emoji123]Siku zote nimekuwa wa mwisho kuelewa mambo
Hivyo hulazimika kujifunza taratibu ili niweze kuelewa [emoji848]
Mh!! Mkuu unakitu chakushea na sisi hapo [emoji3578]Aina ya samaki ambaye nikimuota kwenye ndoto lazima kesho yake nipate balaa zito aidha kiuchumi, kijamii n.k
Imenisisimua hii kitu kumbe hiz id zina mengi ndani yake[emoji3525]The- the
1- one
2- to
b- be
di- disturbed
The one to be disturbed! Sipendi ugomvi. Mara nyingi huwa nachokozwa na wagomvi wangu.
[emoji123] mkarateeeKatika taaluma ya sanaa ya mapigano nilipata rank kubwa nikiwa mdogo nikawa itwa hivyo tangu zamani.
Kwasasa pia ni mkufunzi wanapaita ........
Nimejifunza kitu mkuu [emoji123]Inatamkwa loo chah ni kispanish inasimama badala ya neno fight/struggle
kwenye utafutaji nilijikuta nimefika kwenye mji mmoja unaitwa Acapulco huko Mexico haiba yangu ni mtu mpole sana lakin ilibidi nibadilike na kuwa mtu mwenye tabia tofauti na kuwa mtataa sana ili niishi sikua na chaguo zaidi ya kuwa mtu mgomvi ili kila mtu asiwe huru kunizingua
jamaa wakawa wananiita Lucha jina langu halisi hawakua wanalijua wakanipa a.k.a
Kwa kiswahili ni sawa na useme yule jamaa mgomvi
Nimekubali mkuu.Ihayabuyaga =Msema Hovyo ama mropokaji
Usukumani huwa haliitwi lote...watoto wa kiume wanatumia jina Hilo huitwa Buyaga
[emoji16][emoji16] mwamba alitisha sana.kwa hisani ya Dr. shika vunjabei mnada wa magorofa kinondoni (nyumba za lugumi)900 itapendeza zaidi, nilikwepo kiukweli alituchekesha sana sintamsahau
Safi sana mkuu.Nilikuwa naangalia sana Mark Angels comedy,Kuna character mmoja alikuwa dogo wa Kiume anaitwa Chukwu emeka nikaamua kuitumia hapa japo zamani nilikuwa na ID nyingine ya 2010 nilisahau baada ya kutotumia JF Kwa muda mrefu
Namjua huyo dogo yupo vzuri[emoji16]Nilikuwa naangalia sana Mark Angels comedy,Kuna character mmoja alikuwa dogo wa Kiume anaitwa Chukwu emeka nikaamua kuitumia hapa japo zamani nilikuwa na ID nyingine ya 2010 nilisahau baada ya kutotumia JF Kwa muda mrefu
Ngoja nimtafute na Mimi nimsome huyu noinja [emoji123]Carlos The Jackal..(Ramires Sanchez )..Ni Mvenezuela alozaliwa mwaka 1949 , aliyeamua kua Gaidi, akaisumbua Dunia Kwa miaka zaidi ya 10 .
Matukio yake ni ya Kusisimua sana.View attachment 2577178
Safi mkuuG- Jina langu halisi
wa- Kutoka
B- Jina halisi la ukoo.
Noted [emoji3578]King yedidiah
King- mfalme
Yedidiah; Rafiki wa Mungu.. ni jina alilopopewa suleiman na nabii nathan ikiwa ni ujumbe kutoka kwa Mungu baada ya Mungu kumsamehe daudi dhambi ya kuzini na mke wa uria mhiti.
[emoji7][emoji8][emoji9][emoji39]Sikupenda neno SWEET nikaligeuza kuwa tamu.
[emoji16]inamankusweke sijui ataeleza nini hapa mungu wangu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16]Hahahah
Mimi msanii wa kuyapaka rangi mawazo ya watu yaonekane kwa uzuri zaidi[emoji1787]
Huyo jamaa naye alitubamba [emoji16]Cabo snoops aisee, Huu wimbo nilikua nauimba vibaya mno japo nilikua siuelewi mpaka kesho.
Safi mkuu.Vishu Mtata
Vishu ni Nick name yangu kipind napenda usanii na wasanii, Mtata lilikuja tu.
Kule lazima mkuu tutie maguu hatuwezi kumuuacha atembee na hela zet[emoji41]NALIA NGWENA nakuhitaji katika huduma ya kumsaka yule mtuu alotoka nje kuchukua hela zetu. Afe yeye au tufe sisi. Japo huu uzi tayari upo