Kamongo2
Member
- Dec 21, 2022
- 10
- 20
Acha kabisa huyo lecturer umenikumbusha mbaliFrom my Trible...
From my lecturer aliyenipiga sup za kutosha
Alinitesa mpuusi yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa huyo lecturer umenikumbusha mbaliFrom my Trible...
From my lecturer aliyenipiga sup za kutosha
Alinitesa mpuusi yule
Sasa huo ni ukorofi auntie🤣🤣🤣Nakataaa auntie [emoji23]
Auntie acha niwe mkorofi tu [emoji23] ila nakataaaaSasa huo ni ukorofi auntie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi sawa, na mbichwa wako kama wa kikuu.Auntie acha niwe mkorofi tu [emoji23] ila nakataaaa
[emoji23] hivi nani kamteka jamani watu wamepoteaBasi sawa, na mbichwa wako kama wa kikuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kabisa huyo lecturer umenikumbusha mbali
Na auntie yako nae sijui kapata mstaafu wa wapi🙆🙆🙆[emoji23] hivi nani kamteka jamani watu wamepotea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siku zote nimekuwa wa mwisho kuelewa mambo
Hivyo hulazimika kujifunza taratibu ili niweze kuelewa [emoji848]
KabisaBora umekuwa mzalendo wa lugha ya kiswahili
Auntie kwaresma inambana mpaka namwambia mbona wote tunafunga unapotea hivi jamaniNa auntie yako nae sijui kapata mstaafu wa wapi[emoji134][emoji134][emoji134]
Alipotea kabla ya kwaresma bwana!!Auntie kwaresma inambana mpaka namwambia mbona wote tunafunga unapotea hivi jamani
Hahhaha sijui nani naye kamtekaAlipotea kabla ya kwaresma bwana!!
Kuna mstaafu wa watu anatapeliwa huko🤣🤣Hahhaha sijui nani naye kamteka
Alikueleza ni kwa Nini hawatumii majina halisi [emoji16]Sayoo , halina maana yeyote aisee
Nakumbuka pindi nacreate account jf , nilitaka kutumia jina langu halisi ,
Kuna jamaa yangu mmoja yupo hum , akanikataza kua hum jf hua hawatumii majina yao halisi hapo hapo nikabadili
Nikajikuta nimesema " say ooooooo"
Nikapata sayoo