Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Auntie umeanza lini kubishana na mimi?Hapanaaaa haujasimuliwa [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Auntie umeanza lini kubishana na mimi?Hapanaaaa haujasimuliwa [emoji23]
Semegi mdogo wako ataanza kunikataaa ujue.Hawafaiii auntie[emoji1787][emoji1787]
Waliojionea wenyewe wala hawakatai.....[emoji23][emoji23] Auntie siamini kama umesimuliwa ni kwamba umejionea mwenyewe
Uko kwa waziri mkuu huwa sipatumiiUmefunga kwa Waziri Mkuu, PM.
[emoji23] Auntie sikubishii ila nakataaa bwanaAuntie umeanza lini kubishana na mimi?
Tumia kwa ajilinya kutimiza azma yako ya kujionea kwa macho. Itumie kutimiza ndoto.Uko kwa waziri mkuu huwa sipatumii
[emoji23] kwamba unaamini kasimuliwa me nakataa bwana ananitisha tu bureWaliojionea wenyewe wala hawakatai.....
[emoji23][emoji23]Tumia kwa ajilinya kutimiza azma yaki ya kujionea kwa macho. Itumie kutimiza ndoto.
Usife hujatimiza tamanio lako. Huna haja ya kukaa na dukuduku la kutaka kujionea.[emoji23][emoji23]
Yule ashalivagaa, hawezi🤣🤣🤣Semegi mdogo wako ataanza kunikataaa ujue.
Unataka kusemaje auntie🤣🤣[emoji23] Auntie sikubishii ila nakataaa bwana
Nakataaa auntie [emoji23]Unataka kusemaje auntie[emoji1787][emoji1787]
Hahahahahahasumbai umeenda kufukua kaburi la mwaka 47 why? Na ilikiwa wa chitchat huyo aliyetafutwa. Enzi hizo kila mtu chitchat na wake, mtu akiongea nawewe. Mwenye wake anakuja, nikasema isiwe tabu.
Acha nitafute wangu wa humu. Couple za chictchat enzi hizo raha hadi baba wakwe walikuwepo Kaizer Baba mkwe where are you?
Kipenzi changu mbona kama umepanick ebu sumbai asikuudhi bwanasumbai umeenda kufukua kaburi la mwaka 47 why? Na ilikiwa wa chitchat huyo aliyetafutwa. Enzi hizo kila mtu chitchat na wake, mtu akiongea nawewe. Mwenye wake anakuja, nikasema isiwe tabu.
Acha nitafute wangu wa humu. Couple za chictchat enzi hizo raha hadi baba wakwe walikuwepo Kaizer Baba mkwe where are you?