Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umekuwa mzalendo wa lugha ya kiswahiliSikupenda neno SWEET nikaligeuza kuwa tamu.
🤣🤣🤣🤣🤣Natamani niijue simulizi....
Kwani auntie ulishampata mmasai nakumbuka tulikuwa tunatafuta wote [emoji23]Auntie njoo nikusimulie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijasema siwapendi, kwani wewe nakuchukia sumbai ... yule nahisi sikumpenda na alikuja kwa pupa sana. Alimsumbua sana dada yake. Na anafanya kazi huko Zanzibar.Yajayo yanafurahisha.
Kwanini huwapendi wamasaai?
Nilisimuliwa tu auntie🤣🤣🤣Kwani auntie ulishampata mmasai nakumbuka tulikuwa tunatafuta wote [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] Bantu Lady umeona sasa mmasai alivyonielewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] sitaki kuamini auntie yaani usimuliweNilisimuliwa tu auntie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eenhee niambie kumbe napitwa, kakuelewaje tena?😄😄😄😄[emoji23][emoji23][emoji23] Bantu Lady umeona sasa mmasai alivyonielewa
Hello members!! Nimekua nikisoma id za members kwa kweli zingine zinafurahisha, zinahuzunisha na kusisimua pia.
Nimeona kuanzia uzi huu maridhawa kabisa mwana jamii pita hapa tueleze maana na kwa Nini umejiita hivyo??
Naanza Mimi NALIA NGWENA
Hilo ni jina ambalo nilijiita baada ya kupita jkt, ipo hivi nalia ngwena ni wimbo ambao ulikua ukiimbwa ulikua na mateso makubwa ndani yake tunaita maovyo ovyo,
Ilifikia hatua huu wimbo tuliimba huku tunalia.
Maana afande aliyekuwa akiimbisha huu wimbo alitoa na mazoezi makali humo humo ndani yake.
Kiukweli katika vitu ambavyo sitoweza kusahau ni huu wimbo na ndiyo maana nikajiita NALIA NGWENA
Karibuni wa
kwa hisani ya Dr. shika vunjabei mnada wa magorofa kinondoni (nyumba za lugumi)900 itapendeza zaidi, nilikwepo kiukweli alituchekesha sana sintamsahauHello members!! Nimekua nikisoma id za members kwa kweli zingine zinafurahisha, zinahuzunisha na kusisimua pia.
Nimeona kuanzia uzi huu maridhawa kabisa mwana jamii pita hapa tueleze maana na kwa Nini umejiita hivyo??
Naanza Mimi NALIA NGWENA
Hilo ni jina ambalo nilijiita baada ya kupita jkt, ipo hivi nalia ngwena ni wimbo ambao ulikua ukiimbwa ulikua na mateso makubwa ndani yake tunaita maovyo ovyo,
Ilifikia hatua huu wimbo tuliimba huku tunalia.
Maana afande aliyekuwa akiimbisha huu wimbo alitoa na mazoezi makali humo humo ndani yake.
Kiukweli katika vitu ambavyo sitoweza kusahau ni huu wimbo na ndiyo maana nikajiita NALIA NGWENA
Karibuni wakuu.
Semegi nimetuliaaaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulia shemdarling!
Nilisimuliwa mambo ya ajabu nikaogopa🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23] sitaki kuamini auntie yaani usimuliwe
Mdogo wangu hajambo?Semegi nimetuliaaaa.
Huu ni ......Nilisimuliwa mambo ya ajabu nikaogopa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23] auntie bwana acha kunitisha zaidi ya kingozi kuna vingine vinatisha Bantu Lady wana kingozi hao sumbai anajuaNilisimuliwa mambo ya ajabu nikaogopa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unataka uone nini Mkuu?Wamasai nasikia mna vitu vyenu vya pekee huwa natamani tu itokee nione mwenyewe macho kwa macho [emoji23]