Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] naona aibu kuongea hapa kuna kwaresma na mwezi mtukufu ila najua umenielewa vizuri tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Vitu gani??
Wamasai ni waaminifu sana. Kazi za ulinzi tunazifanya vzr
Muddy physics.Kama unamjua mudy physics basi unganisha dots...?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona aibu kuongea hapa kuna kwaresma na mwezi mtukufu ila najua umenielewa vizuri tu
Merehem MuddyMuddy physics.
Alisababisha nikapa A ya physics A'Level.
#YNWA
Wacha wee hata wale wa njiani, watembea na shuka 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️[emoji23] Natamani dear nikutane na mmasai ila nimpende kwanza
Wanadumisha Mila.Wacha wee hata wale wa njiani, watembea na shuka [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
GreatKatika kila kitu unachoonekana kufeli, basi anza upya ukiwa mwenye ujuzi na ubora zaidi na hakika utafanikiwa. As long as unakimaanisha unachokifanya, hakuna kitakachokushinda. Usikate tamaa.
Nikajiita Restart. Hiyo Dr ni baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu.
Nilitaka kumpa Shunie wewe nikasahau, kuwa wewe ni wa cute b mume halali wa mtu.Wanadumisha Mila.
[emoji23][emoji23] Unaelewa vizuri tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Najitahidi kuelewa Ila wapi? Mwambie Bantu Lady wamasaii ni wasusi wazuri saana wa rasta
[emoji23][emoji23] Huyu hatumuwezi upande shemeji yetuNilitaka kumpa Shunie wewe nikasahau, kuwa wewe ni wa cute b mume halali wa mtu.
Shuu ngoja tutafute Mmasai mwingine, huyu kawahiwa tayari [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23] UkimaanishaUsiamini saana behind kibodi
Auntie njoo nikusimulie🤣🤣🤣Wamasai nasikia mna vitu vyenu vya pekee huwa natamani tu itokee nione mwenyewe macho kwa macho [emoji23]
😀😀😀SIrname ya Leonard?
Isije ukakuta mume na mke tupo humu tunaparurana kwa hoja😃
Natamani niijue simulizi....Auntie njoo nikusimulie[emoji1787][emoji1787][emoji1787]