torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
pole sana na alegi yako ya cocaSinywiii mie hata harufu yake siitaki kusikia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole sana na alegi yako ya cocaSinywiii mie hata harufu yake siitaki kusikia.
Yes sure, you know I meanI mean no malice to nobody
Ain't my business BuddhaYes sure, you know I mean
Yes, you know I meanAin't my business Buddha
Usimlaumu lecturer, sup ulijitengenezea mwenyewe, huwa tunatabia ya kuhamisha matatizo yetu Kwa wengine ili tupate psychology satisfaction.From my Trible...
From my lecturer aliyenipiga sup za kutosha
Alinitesa mpuusi yule
Allergy ya Coca inasababishwa na matumizi makubwa ya pombe Kali [emoji16][emoji16]pole sana na alegi yako ya coca
Hahaha we hujui tuuu.Usimlaumu lecturer, sup ulijitengenezea mwenyewe, huwa tunatabia ya kuhamisha matatizo yetu Kwa wengine ili tupate psychology satisfaction.
Cabo snoops aisee, Huu wimbo nilikua nauimba vibaya mno japo nilikua siuelewi mpaka kesho.Nasubiri Prakatatumba abaabaabaa auone uzi huu. [emoji23]
Ndo maana yake au siyo?Hello members!! Nimekua nikisoma id za members kwa kweli zingine zinafurahisha, zinahuzunisha na kusisimua pia.
Nimeona kuanzia uzi huu maridhawa kabisa mwana jamii pita hapa tueleze maana na kwa Nini umejiita hivyo??
Naanza Mimi NALIA NGWENA
Hilo ni jina ambalo nilijiita baada ya kupita jkt, ipo hivi nalia ngwena ni wimbo ambao ulikua ukiimbwa ulikua na mateso makubwa ndani yake tunaita maovyo ovyo,
Ilifikia hatua huu wimbo tuliimba huku tunalia.
Maana afande aliyekuwa akiimbisha huu wimbo alitoa na mazoezi makali humo humo ndani yake.
Kiukweli katika vitu ambavyo sitoweza kusahau ni huu wimbo na ndiyo maana nikajiita NALIA NGWENA
Karibuni wakuu.
SIrname ya Leonard?mrsleo - Married to Leonard
Wewe ni msanii wa ngoma au wa ngonjera? 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️