Jina lako JF (ID) ina maana gani na kwanini umejiita?

Jina lako JF (ID) ina maana gani na kwanini umejiita?

Katika kila kitu unachoonekana kufeli, basi anza upya ukiwa mwenye ujuzi na ubora zaidi na hakika utafanikiwa. As long as unakimaanisha unachokifanya, hakuna kitakachokushinda. Usikate tamaa.

Nikajiita Restart. Hiyo Dr ni baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu.
Safi sana mkuu.
 
Lina maana tusiwacheke washamba kwani wote tumeanza kwenye sifuri.....
Nimejiita hivo kwasababu naamini mimi ni mshamba wa vingi, hata hivyo nina umri mdogo[emoji23]
Kweli mkuu umetisha sana
Unakua mshamba kwa sekunde Kisha unakua professional [emoji16]
 
Back
Top Bottom