EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Asante sana 😅Naona umetoka kifungoni mkuu
Karibu tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana 😅Naona umetoka kifungoni mkuu
Karibu tena
Naona mwalimu mpwayungu village alifanikiwa kukuchomaAsante sana 😅
Mchikichini hapo kipindi napiga mapindi kwa hidenKama unamjua mudy physics basi unganisha dots...?
Mzee wa simultaneously equation.Kupenda sana Hesabu
Bado anatamani kuwa mwanamke?😅😅😅Naona mwalimu mpwayungu village alifanikiwa kukuchoma
Msimamo wake Bado ni ule uleBado anatamani kuwa mwanamke?😅😅😅
Dah noma sana aiseeFrom my Trible...
From my lecturer aliyenipiga sup za kutosha
Alinitesa mpuusi yule
Safi sana mkuu.Katika kila kitu unachoonekana kufeli, basi anza upya ukiwa mwenye ujuzi na ubora zaidi na hakika utafanikiwa. As long as unakimaanisha unachokifanya, hakuna kitakachokushinda. Usikate tamaa.
Nikajiita Restart. Hiyo Dr ni baada ya kutunukiwa Shahada ya Uzamivu.
Safi sana mkuu.Mo- Mohamed
Mp- M....................
5- mwezi niliozaliwa
Tuliopiga sayans tunamjua huyo fundi sana mkuu akili nyingi.Akili nyingi hadi zinamwagika[emoji41][emoji41]
112 ni kundi la mziki nlilolipendaga sana back in time
Kweli mkuu umetisha sanaLina maana tusiwacheke washamba kwani wote tumeanza kwenye sifuri.....
Nimejiita hivo kwasababu naamini mimi ni mshamba wa vingi, hata hivyo nina umri mdogo[emoji23]
Mkuu,🙌Safi sana mkuu.
Funzo hili.Ndege Tai..
Nilivutiwa sana na maisha ya Huyu ndege na nikajifunza kwamba safari ya maisha
Inahitaji uvumiivu,ustahimilivu (kama wa Tai)
Noma sana aka the notoriousNjemba-jitu.
Soro- libabe, likorofi, lihuni.