Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
HahahahWewe ni msanii wa ngoma au wa ngonjera? ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Mimi msanii wa kuyapaka rangi mawazo ya watu yaonekane kwa uzuri zaidi๐คฃ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahWewe ni msanii wa ngoma au wa ngonjera? ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ๐โโ๏ธ
Inama nikusweke lokapuinamankusweke sijui ataeleza nini hapa mungu wangu๐๐๐
Hongera sana๐Hahahah
Mimi msanii wa kuyapaka rangi mawazo ya watu yaonekane kwa uzuri zaidi๐คฃ
Ha ha hamrsleo - Married to Leonard
Bado mpo ndoanimrsleo - Married to Leonard
Tusingekuwa ndoani ningeshabadilisha jina, am still happily marriedBado mpo ndoani
Lokapu tena Eeeh! basi sawa kamanda๐๐๐Inama nikusweke lokapu
Wamasai jamani hauna kaka ako uko Bantu Lady[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimemuonea wivu Kaka.Wamasai jamani hauna kaka ako uko Bantu Lady
Kila la kheir.Tusingekuwa ndoani ningeshabadilisha jina, am still happily married
Huyu huyu sumbai vipi Shunie unawapenda? Mimi nilimkataa mmoja. Tena aliniona kwa status ya dada yake, tunafanya kazi pamoja. Aling'ang'ana huyo apewe namba sikumtaka hata.Wamasai jamani hauna kaka ako uko Bantu Lady
Wamasai nasikia mna vitu vyenu vya pekee huwa natamani tu itokee nione mwenyewe macho kwa macho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimemuonea wivu Kaka.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wamasai nasikia mna vitu vyenu vya pekee huwa natamani tu itokee nione mwenyewe macho kwa macho [emoji23]