nimeacha Kununua Mapenzi Kitambo tu na Pia Sina uhakika kuwa penzi lako kulipata mpaka niligharamie. Shem wangu J lo Aliwahi kuniambia Penzi hali ghalamiwi
Nikutakie Mafanikio Mema Katika Kuitafuta.... Lakini Yule Mpare wa watu muache
Oooooh kumbeeeeeee!! Haya kilalakheri, hapa money kwanza mengine majaaliwa.
Hahaahahaha!!! Mke mwenza katika ubora wake,Nilivyo mmbea sasa kote sikuona nimekuja kuona hapa tu.......
Yaani mke mwenzangu bora umeona hapo tu unisaidie kusambaza hii habari njema ili unisaidie kupunguza mamluki.
Moyo hata mie ninao mke mwenza, nataka atakayefungua thread inayoongelea kuliandika jina langu bank.
Heeeeee asione vyaelea vimeundwa ati!!!! Weeee ibra87 mkono mtupu haulambwi wala maneno matupu hayavunji mfupi kumbuka ukitaka Kula shurti uliwe kidogo........watoto wazuri utaishia kuwaita shemejiiiiiiiii.....
Yaani mke mwenza thats why i love you, yo very smart, mke mwenza anayejitambua, kweli Eli79 una bahati sana kuwa na mke kama huyu, usimfuje tu.
Mwambie bwana huyu, vigezo na masharti lazima vizingatiwe, ye anadhani nimemvutia hivi hivi tuuuuu!! Nimegharamiwa ati!
Richard Mugizi, Nyani Ngabu, given, pilipili manga au Paulo? Maana wanaokuhitaji ni wengi
Unadhani kwanini nimejikalia zangu pembeni? Nimejijua siwezi kushindana na wabeba box maana foleni Yako ni Sawa na kutoka g.mboto mpaka bunju
Usinisingizie bwana, wewe ndio wa kwanza kujitokeza hapa jf kuwa unanihitaji, hao unaowahisi maybe hata wazo nami hawana, so acha uoga.
Hivi kwanini siku ya leo kila ninapokaa Wimbo wa Sir Elton John uitwao candle in the wind huwa unanijia sana kichwani? Unaweza kudadavua kidogo atoto
Unaweza Kuwa Mtabiri Maana Huu Wimbo Uko dizaini ya maombolezo Hivi.. Hata kwenye mazishi ya Michael jackson aliuimba huu wimbo sasa leo nashangaa