Jina lako Limeandikwa Moyoni Mwangu Atoto

Jina lako Limeandikwa Moyoni Mwangu Atoto

Mie nikajua kwa muda ulokaa milembe now una nafuu, kumbe ndio hali inazidi kuwa mbaya!!!

Wewe ndiyo Unanipa kichaa Atoto na Hii baridi ya Huku Uziguani ntakoma
 
Mie nikajua kwa muda ulokaa milembe now una nafuu, kumbe ndio hali inazidi kuwa mbaya!!!

Mmmh!!! nimekaa milembe tena

Sio vizuri ivooo.

Wewe ndiyo Unanipa kichaa Atoto na Hii baridi ya Huku Uziguani ntakoma

Hahahaaaa! Huyu ni shemeji yangu ndugu yake mume wangu, ila tushatibu mpaka tumechoka.

muache ipo siku Atakuja tu lakini atakuwa Ameshachelewa

Haaa!
Mapya haya

Nileteeni huyo mgonjwa nimtibu bure
 
Safi sana

Nibebee hiki kifaa 1440527027746.jpgni scanner ya kiasili
 
Yani nita mtelekeza au ataamua tu sahau kabisa haachwi mtu au subili nife kama kurithiana bado kupo

Uwiii if you die before me, ill honour yo death forever, no one will ever take yo place.

Mhuuu! atoto huyu shemeji kaja juu kama motto wa kifuu!
Nilitaka amwambie anampenda pia!!
Una swali lingine?

Ana uchungu na mkewe jamani, taratibu na shemeji yako tafadhali, his happiness is mine too.
 
Last edited by a moderator:
Mhuuu! atoto huyu shemeji kaja juu kama motto wa kifuu!
Nilitaka amwambie anampenda pia!!
Una swali lingine?

My wife hayuko hivyo na ndo sababu nimeoza kwake nampenda mpaka sioni wala sisikii
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom