Jina lako Limeandikwa Moyoni Mwangu Atoto

Jina lako Limeandikwa Moyoni Mwangu Atoto

mmh!!,huo mwandiko wa mleta mbona naufananisha na jamaa ambaye namfahamu. jMali Mussolin5 .
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaa!! Paulo bwana, hiyo mistari ni mizito mno diamond haiwezi, hizo level za King Kiba bwana.

Hahaha chochote unachosema.

Tuwe serious lakini, umempa jamaa shs. ngapi kwa kazi yote hii? We mbunifu kinoma. Halafu na mimi nitumie nafasi hii kutangaza, mwanamama yeyote aliye tayari kuandikiwa kama wewe hivi, atangaze dau tu na yeye. Hizi ni fursa.
 
Hahaha chochote unachosema.

Tuwe serious lakini, umempa jamaa shs. ngapi kwa kazi yote hii? We mbunifu kinoma. Halafu na mimi nitumie nafasi hii kutangaza, mwanamama yeyote aliye tayari kuandikiwa kama wewe hivi, atangaze dau tu na yeye. Hizi ni fursa.
naomba upunguze usumbufu pm Kwa Atoto.... Nishamuandika Moyoni
 
Hisia Zangu kwako ni Zaidi Ya Penzi La Diamond Kwa Zarina na Tiffa... Nina mahaba mazito Juu Yako Kama wewe Unavyoipenda Ccm. Na Sitaacha kusema Popote pale Kuwa Jina Lako Nimeliandika Moyoni Mwangu na wakulifuta Hakuna Zaidi Ya Kifo..


Aiiiiii!! Yaani moyo wako kwangu nyang'aaa nyang'aaaaaa!! Hebu nitumiepo kwanza kamilioni ka vocha.
 
Aiiiiii!! Yaani moyo wako kwangu nyang'aaa nyang'aaaaaa!! Hebu nitumiepo kwanza kamilioni ka vocha.

Ukimkana MANGA ML na ELI79 Hapa hapa basi Nakutie 2m
 
Hahaha chochote unachosema.

Tuwe serious lakini, umempa jamaa shs. ngapi kwa kazi yote hii? We mbunifu kinoma. Halafu na mimi nitumie nafasi hii kutangaza, mwanamama yeyote aliye tayari kuandikiwa kama wewe hivi, atangaze dau tu na yeye. Hizi ni fursa.

Mmmh wanga msiopenda maendeleo yangu mmeanza kujitokeza mmoja mmoja!!! Lengo lenu halitimii ng'ooooo!! Hii bahati mchezo!!, tangu naingia jf sijawahi kutongozwa hata kwa bahati mbaya, leo hivi hiviii neema imeniangukia, badala ya mdogo wangu tufurahi pamoja wewe unaleta balaa tena.
 
Aah atoto huyo Ooooooooooh. Hongera kwa kudondokewa teh
 
Last edited by a moderator:
Mmmh wanga msiopenda maendeleo yangu mmeanza kujitokeza mmoja mmoja!!! Lengo lenu halitimii ng'ooooo!! Hii bahati mchezo!!, tangu naingia jf sijawahi kutongozwa hata kwa bahati mbaya, leo hivi hiviii neema imeniangukia, badala ya mdogo wangu tufurahi pamoja wewe unaleta balaa tena.

Hahaha. Acha kufuru Atoto.
 
Back
Top Bottom