Jina lako linaanza na herufi gani?

hahahah... daddy's girl πŸ˜‚πŸ˜‚ ungepata baba ambaye siyo muelewa angekata kichwa hicho πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hahahaaaa!! Yaani wewe loh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna dada fulan alikuwaga rafiki angu alitengwa na ndugu zake... nilimuonea huruma sana
Mi nilitengwa 3yrs no communication with my dad!!Acha tuu!i can feel it my broh!mbaya sasa kila ananiependa kwa dhati ndo hao hao kina James,Wily,Jacob n.k huku kwa kina Ally,Salim,Rashid hakuna kitu zaidi ya utapelii!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi pia sijawahi pendwa na muislamu kwa dhati kabisaa!ukiski true love basi Christian yaani acha tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
natilia mkazo hapa sijawahi date gal wa dini tofauti yani huwa hata ujasir wa kuwatokea nakosa automaticaly..

sasa kuna siku nikasema ngoja nijaribu alafu yani nikipima naona kabisa naona huyu hawezi chomoa ila cha ajabu nilikula kibuti hichooo acha tu since hyo siku sijawahi tena tongoza msichana tofauti na din yangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…