Jina lipi zuri kwa ajili ya Poti?

Jina lipi zuri kwa ajili ya Poti?

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
3,978
Reaction score
6,739
Kamanda tumpe jina gani?!
1738614165081.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe ni mshenzi, nyoni ni tatizo lingine. Ukikutana na nyoni mtaani uambiwe ni poti utapigana mpk kufaa. Anaitwa general nyoni sasa hivi🤣
Kuna siku meja general alikuja kikosi kuzunguka zunguka si aka mkuta amala pale anatoa maelekezo aliku odar koplo wa kikosi akauliza wewe ni private na una mwili uho 😂😂 CO huyu aende kozi ikitokea ya MP aende tukajua utani bhna siki ya siku majina yanatoka wanao enda kozi ya ukoplo na yupo 🙌😂 nyaisa akasema nyoni ukitoboa naacha jeshi six week haijaisha kasitisha koz 🙌 anasema yeye ana staafu na uprivate
 
Kuna siku meja general alikuja kikosi kuzunguka zunguka si aka mkuta amala pale anatoa maelekezo aliku odar koplo wa kikosi akauliza wewe ni private na una mwili uho 😂😂 CO huyu aende kozi ikitokea ya MP aende tukajua utani bhna siki ya siku majina yanatoka wanao enda kozi ya ukoplo na yupo 🙌😂 nyaisa akasema nyoni ukitoboa naacha jeshi six week haijaisha kasitisha koz 🙌 anasema yeye ana staafu na uprivate
Umenitisha sana kumbe umerudi hapo🤣🤣 nyoni anatembea na bag limejaa vyeti vya hospital hakuna pakumpeleka Idara ya Finance ngome analimtu lizito mabegani 🫣🫣 haligusiki ndio kinga yake. Alipewa ukarani nahisi aliharibu tena🤣🤣.
 
Umenitisha sana kumbe umerudi hapo🤣🤣 nyoni anatembea na bag limejaa vyeti vya hospital hakuna pakumpeleka Idara ya Finance ngome analimtu lizito mabegani 🫣🫣 haligusiki ndio kinga yake. Alipewa ukarani nahisi aliharibu tena🤣🤣.
Ndio maana jeuri umkute jiko kuu nakula kula mda wote nyoni kiboko af kumbe alikuwa anapewa hela ya elimu kimakosa nae aka kausha pombe zilikuwa zinatembea at wewe ungekuwepo ungekuwa unapea ofa 🙌 ila yule jamaa ataki shida
 
Ndio maana jeuri umkute jiko kuu nakula kula mda wote nyoni kiboko af kumbe alikuwa anapewa hela ya elimu kimakosa nae aka kausha pombe zilikuwa zinatembea at wewe ungekuwepo ungekuwa unapea ofa 🙌 ila yule jamaa ataki shida
General nyoni alikua anawekewa Hela za elimu 🤣🤣🤣 Sawa na yule Swai alikua anawekewa za Pedi kina kanda ndio wakaja kusanua roho mbaya tu.🥹🥹
 
General nyoni alikua anawekewa Hela za elimu 🤣🤣🤣 Sawa na yule Swai alikua anawekewa za Pedi kina kanda ndio wakaja kusanua roho mbaya tu.🥹🥹
Af swai hanaga baya yule mzee duh kwahy waka kata utepe 🙌 general nyoni alikutwa na makosa kosa mengi ndio kuja kufumbuka na ilo ya pesa ya elimu
 
Back
Top Bottom