Jina lipi zuri kwa ajili ya Poti?

Jina lipi zuri kwa ajili ya Poti?

Yule mzee ana vituko vyake bhna 😂😂 ila ana mbio humpati alifukuzwa na tembo uko polini alikuw anafanya nini hatujui 😂
Wewe kama haupo mtoni basi upo karibu na Hifadhini wewe🤣🤣
Af unakumbuka lau alivyo fukuzwa na fimbo mpaka kakimbilia kwa CO?
Hii sikumbuki mbona, ila nyie waliwanyung'unya sana, yule mrema, Hassan, gitore .walikosekana wavuvi Haram tu wa special force 🤣🤣🤣
 
Wewe kama haupo mtoni basi upo karibu na Hifadhini wewe🤣🤣

Hii sikumbuki mbona, ila nyie waliwanyung'unya sana, yule mrema, Hassan, gitore .walikosekana wavuvi Haram tu wa special force 🤣🤣🤣
Ilikuwa siku ya disco ya vijana lau akasema hapana bhna acha niende akatoka kwake mpaka kemp kafika kachukua kijana kaenda nae mnazi si wakamkuta ma MP wakawa wanamuuliza akawa anajibu kwa vitisho walimnyuka fimbo akakimbia nguo kaacha viatu kaacha vita picha na ile miba kafika mpaka rest co akuliza shida nini MP akaeleza CO akasema mchukueni kama 😂😂😂 haji sahau ile tukio
 
Back
Top Bottom