Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 3,952
- 11,919
Swa
🤣🤣Swai mshenzi hana shida Lile jina lake la Glorian ndio lilichanganya,🤣🤣 general nyoni kila asubuhi tu akifika anaagiza supu kwa tupokigwe,kutoa mteru kwanza,🤣🤣 itakua yule mkuu wake ndio mfumo mzima ile sio Bahati mbaya.Af swai hanaga baya yule mzee duh kwahy waka kata utepe 🙌 general nyoni alikutwa na makosa kosa mengi ndio kuja kufumbuka na ilo ya pesa ya elimu