Jina 'Machinga' chimbuko lake ni nini?

M
Habari kwenu wanajamii wote.

Nataka kujua na kwa faida ya wengine, hivi jina " Machinga lina asili gani? Kwanini Machinga awe na jina lake badala ya kuitwa tu mchuuzi au mjasiliamali?

Mwenye uelewa zaidi na asili ya jina "Machinga" atusaidie.
MOHAMED HUSSEIN WA YANGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…