Janken jr
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,125
- 1,180
Inapokea kuna suala LA kuitambulisha Zanzibar nje ya muungano tunatumia jina la Zanzibar, lakin ikiwa suala hilo linaihusu Tanganyika Basi wanakwepa na kutumia jina la muungano yaan Tanzania bara so Tanganyika.kwa ninibbasi NATO Zanzibar isitumie Tanzania visiwani.
Mfano mashindano ya Moira Afrika mashariki yansyafanyika uko Uganda.
Tunashindwa kuienzi Nchi yetu ya Tanganyika.hivi muungano ukifa nchi hii itaendelea kutumia jina hili?huu ujinga
Mfano mashindano ya Moira Afrika mashariki yansyafanyika uko Uganda.
Tunashindwa kuienzi Nchi yetu ya Tanganyika.hivi muungano ukifa nchi hii itaendelea kutumia jina hili?huu ujinga