ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Tanganyika na Zanzibar ndio imetoa Tanzania , iyo Azania tengeneza muungano wako mwenyewe, tunapaswa kulienzi jina Tanganyika kama wanavyolienzi jina ZanzibarJina Asili ni Azania
Tanganyika pia sio la asili
Kwanini utake tuitwe Tanganyika sio Azania?
Tanganyika tumepewa na mabeberu 1919