Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Ulikuwa na maelezo mazuri Ila umeyaharibu baada ya kutaja mizimu
Ok asilimia zaidi ya 50 ya wamama wanaosumbuka na uzazi ni matokeo ya matumizi mabovu ya dawa za majira maarufu contraceptive drugs
 
Hata wewe unashida kwani mm nimesema kunatatizo.... Shida ushazoea ligi
Unaacha kujadili hoja, unanijadili mimi.

Ad hominem logical fallacy. Dalili ya watu wasio na hoja.

Sasa kama hakuna tatizo what is all this fuss about?

Hakuna maendeleo yasiyo na ligi.
 
Unaacha kujadili hoja, unanijadili mimi.

Ad hominem logical fallacy. Dalili ya watu wasio na hoja.

Sasa kama hakuna tatizo what is all this fuss about?

Hakuna maendeleo yasiyo na ligi.
Mzee wa ligi haya ushindi chukua... Mimi zijui vilatini buana.
 
Nashangaa njia za uzazi was mpango hujaandika!!

Aiseh usiombe ukawa una pampu zinaingia ikifika miezi mitatu zinatoka halafu unamsafirisha hospital kwenda kusafisha!
Akianza Julia wakati was kusafisha wanavoingiza mikasi we upo nje mwili unavosisimka na kukata tamaa na kuishiwa nguvu!!

Sijawahi kufikiri kusamehe mwanamke anaetoa mimba yangu aiseh!!!
 
Wewe kuwa na mwanamke anayeweza kutoa mimba yako bila wewe kutaka kosa namba moja ni lako hapo.

Yani kwanza hujui kuchagua mwanamke sahihi, kisha umeonekana hufai kuwa baba.
 
Umehamia kwenye kingereza ndo maana, hata wewe unashida kisaikolojia nenda kwa therapist..
Wenye usomi wa kujua nani ana shida za kisaikolojia, wana elimu ya kujua maadili ya usomi wao yanawakataza kuagua watu mitandaoni.

Wanaoagua watu mitandaoni, hawana usomi wala maadili ya kuagua matatizo ya kisaikolojia.
 
Wenye usomi wa kujua nani ana shida za kisaikolojia, wana elimu ya kujua maadili ya usomi wao yanawakataza kuagua watu mitandaoni.

Wanaoagua watu mitandaoni, hawana usomi wala maadili ya kuagua matatizo ya kisaikolojia.
Unazidi kuthibitisha tatizo lako wahi matibabu...
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Mkuu kuolewa na kuzaa kwa afrika ni heshima kubwa. Tusilazimishe tufanane na wazungu.
 
Upo sahihi. Hata wanaume tunakutana na hii kadhia. Hakuna kitu kigumu kama kumpata mwenza mnaeendana mkafanya maisha. Na ukiforce sana ndio unaharibu kabisaaaaa!!!

NB: Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi.
Wanaume tuna afadhari, demand yetu kwenye soko la mahusiano inadumu muda mrefu m. Mwanaume mpaka 40's bado anakimbiza tofauti na hawa wenzetu wakianza kuitafuta late 20's hakuna njemba iliyoonesha nia wanachanganyikiwa
 
Ndoa ya Yesu na Mary magdalena ilikuwa na hali gani??
Nani kakwambia kuwa Yesu alioa...

Mariamu Makdalena ni mwanamke aliyeokolewa na Yesu hivyo alimfuata Kila alipoenda, hii ndio chanzo Cha wapumbavu kuhisi kuwa alikuwa mke wake...

Hata Leo waliookoka wanalitaja na kuwa karibu na Yesu.
 

Ukiona msanii, muigizaji, Mtu Mashuhuri anakaribia miaka 40 hana mtoto ujue anatatizo.

Kwa Wanaume, ni wanawake wengi wanataka kulala na wasanii/watu maarufu na kuwategeshea mimba kwa sababu ya kimaslahi, pili hakuna mwanaume anaetafuta fedha na mali asiyetaka mtoto hakuna, ukiona mwanaume hakui hana mtoto hana familia ujue ana matatizo kuanzia ya akili na mambo mengine yasiyovumilika.
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?

Na wale wanaojiuaga wengine kwa ku overdose, wengine kwa kujirusha kwenye subways, tatizo linaanzia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…