Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

😂😂😂😁😁!

Sema hio ilikua ni nguvu ya Mungu inafanya kazi yake Kutokana na vitu vya kichawi walivoweka Chini ya kitanda vingine mtoto kulishwa kichawi!
Muda huohuo mamamtu anaombewa kanisani hapohapo chumbani ndio hali hio inatokea ilikua ni nguvu ya Mungu kazini!
Ila wanawake na uzazi mnachangamoto sana...

Mnapitia mengi sana...
 
Father or husband is responsibilities and not to feed ur children or to take care of ur wife , because everybody can feed ur children and can care of ur wife.

Responsibilities , is where a husband can impart knowledge and wisdom to his children and wife.

To provide emotional support to his children and wife.

To prepare the decent future to his family

Etc.
much know
Soma hii mkuu
 
Cha ajabu nawafahamu kibao niliosoma nao,walitoa sn tu sio 1 wala 2 na wamezaa vzr mpk wanazuia!
kama walikuwa umri sahihi wa kuzaa. mimba zinakuja tu.

changamoto za uzazi zinawakumba sana wanawake wanaotafuta mtoto wa kwanza first born wakiwa 30

mwanamke wa miaka 25 kushuka chini hapati shida kupata mimba maana mayai yake yanakuwa na quality ya juu sana
mimba age.jpg
 
Kweli kabisa, maana hakuna mtu ambaye anampenda kuwa hivyo...
Ukisema hakuna mtu ambaye anapenda kuwa hivyo, kauli hiyo ni kama kunyanyapaa hali hiyo. Ni kufanya kutoolewa na kutokuwa na mtoto kuwe kama bahati mbaya kubwa sana, au kama kilema fulani hivi.

Yani ni kuona mwanamke ambaye hajaolewa na hana mtoto kawa hivyo kwa bahati mbaya tu, angeweza ni lazima angeolewa na angekuwa na mtoto.

Kuna watu wanapenda kuwa hivyo, wanaamua kuwa hivyo.

Na hawa inafaa waheshimiwe, ni maamuzi yao.
 
Kuna mitaa ya Manzese, Kigogo na Mburahati aisee kuna watoto wengi mpaka Kero 😂😂😂
Hayo madada masomi ya huko kwenu ndiyo yanachelewe kuzaa ama kupata ugumba kabisa. Manzese mtoto wa kike anamaliza la saba anaingia kwenye ndoa akiwa na miaka 16 ama 17. Akimwagiwa tu shahawa za kiume ama hata mkojo wa asubuhi wa mwanaume anapata mimba. Kwasabb kizazi bado kisafi hakijachafuliwa.

Njoo kwa hawa mademu wasomi sasa. Tangu kidato cha pili anachakatwa lkn anazuia mimba kwa kumeza midonge ama anapata mimba na kuitoa. Mpk akamalize chuo kikuu anakuwa ametoa mimba zaidi ya 10. Akija kuolewa huyo atazunguka kwa wataalamu wote wa tiba mbadala hapa nchini halafu ataishia kupata mtoto mmoja tu.
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Kiranga African mentality na umasikini Wa mawazo na fikra Ndo hufanya watu waamini bila kuoa au kuolewa baasi me au ke ana shida na jamii zetu kuchukulia hao watu ndivyo sivyo
 
Swala ugumba bahati mbaya limekuwa likiangaliwa kwa wanawake tu, ila wanaume pia wanasumbuliwa na hili na linaongezeka sana.

Kama mwanaume na mwanamke mko kwenye mauhuisiano kwa muda usiopungua miezi 12 hamtumii condom wala vijiti na hakuna mimba, ujue mmoja wenu ana tatatizo la ugumba.

Mfano yule msanii anaitwa Jux, nimekuja kujua kupitia humu ndani kuwa alikaa na vanesa mdee miaka 7, ila alipoachana nae Vanesa amepata ujauzito na ana watoto 2 na sasa Jux yuko na mwanamke mwingine kwa muda sasa ila bado hajafanikiwa kutia mimba, akija kuachana na Huyu mwanamke naye atashikishwa mimba
🤣🤣Jux aweza kuwa mgumba ,manake kabla ya vanesa,alikuwa na yule jack alokamatwa China na sembe,kama girlfriend wake kwa miaka kadhaa,bila mimba
Au huwa wanazitoa,wanaona jamaa,sio mtu wa kutengeneza naye family,manake amekaa kistarehe na kutokubali kukua.
 
Mizimu ni wafu yaani watu waliokufa...

Roho zao zinakuwa zinaishi Bado zinatumikishwa kufanya matukio mabaya.

Matukio hayo ni kama kuua, kuharibu mimba, kufunga uzao, pesa nk..

Mizimu ni uchawi uliotukuka yaani mizimu ni zaidi ya uchawi ..

Wazee wa zamani waliitumia kwa kuiomba kama Mungu, pia walitoa sadaka..

Jesus!!!!!😳😳😳😳😳😳😳😳😳!
 
Back
Top Bottom