Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Hao AMBao hawazai huwa nawahitaj sana,mambo yakiwa sawa nitawafuga hata watatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ndio nimeona umejibu mtu😂😂😂Mwaka 2024 lazima uhame, ukileta ukaidi Tena nakuhamisha...
Hebu fafanua hiyo nafasi ya mwanaume ni ipi maana Hilo neno wanawake wengi huwa mnapenda kulitumiaKujielewa hakuhusiani na Hela!
'Mwanaume' anaetambua kuwa yeye ni mwanaume na anajua nafasi yake na wajibu wake!
Kuna wanaume Wana Hela ila ni useless!
YaaniHuko Afrika watu wanakupangia maisha yako wewe mwenyewe uishi vipi.
Yani mtu anakupangia uolewe na uzae, hata hajui sababu zako za kuishi unavyoishi ni zipi.
Hakuna asiyejua wanawake kwenye Kila eneo Jamii imehakikisha hatubaki nyuma!Unavosema wanawake wanaojiweza wengi, wanaume wachache sana, unamaanisha nini? Tayana-wog
Ungejiongeza kuanza kuwasomea, kuwaagua na kuwatengenezea nyota zao kabisa, kwa ada ndogo tu ya kiushkaji.Ulishuhudia kitu gani , kuna kipndi nilikua natafuta nyumba ya kukaa kwa mda fulani eneo fulani kama miezi 6 iv , nilipata nyumba nzuri ila nikapewa story za kitaa hiyo nyumba ina majini , watu wanapigwa usiku , niliichukua nione hayo majini , nakupunguziwa bei kabisa kwa sababu haikua na wateja.
Nilikaa pale hakuna chochote ila ule mtaa walikua wananiogopa mno wakihisi mimi ni jini, kukazia zaidi nikawa natupia na kanzu kabisa.
Hebu Kuna comment ya Dr haya kafafanua vzr,nakutagHebu fafanua hiyo nafasi ya mwanaume ni ipi maana Hilo neno wanawake wengi huwa mnapenda kulitumia
Sasa visipokula dawa mkavipitia, mkaviachia watoto na kusepa, napo mtavilaumu vi single mother.matumizi ya dawa za uzazi wa mpango ndio hatari namba moja vitoto vinakula P2 kama pipi
Hata siku moja...
Kuna Jiji nimewahi ishi...
Hali ya hewa yake hua inapenda kutengeneza vimbunga vidogo vidogo au sometimes vikubwa kiasi...
Wengine wakiona hivyo wanakimbia ati wachawi wanakuja, mimi nilikua naenda kuingia katikati ili nione kitatokea nini...
Sio kweli kwamba wanawake wanaojiweza wengi kuliko wanaume
Sasa wewe mtanzania, unataka kuishi kama Mmarekani, why ?Wala sio mapepo au mizimu haya mambo ya kuolewa,kuzaa kupiga vibomu wanaume yapo Africa tu
🤣🤣🤝🤝🤝Sasa visipokula dawa mkavipitia, mkaviachia watoto na kusepa, napo mtavilaumu vi single mother.
Vyovyote vile mtavilaumu tu.
Dk haya ni mwanamke? Mimi nataka kusikia kutoka kwenu wanawakeHebu Kuna comment ya Dr haya kafafanua vzr,nakutag
Hebu nitumie nauli tuone kama ntakula 😂😂😂Wanaogopa kuzaa ili waendelee kula nauli zetu wao peke yao tu.