Soulja boy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 4,052
- 7,375
Ndomaana wanaume wengi wananunua mlya kumilik dem n cost.Exactly
Mtu ni jobless,anaoaje?
Hii sbb mojawapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndomaana wanaume wengi wananunua mlya kumilik dem n cost.Exactly
Mtu ni jobless,anaoaje?
Hii sbb mojawapo.
Na wakakusumbua sana... 😁😁Mama mchungaji Hivi hii mizimu inakuaje kuaje???
Nakumbuka niliambiwaga mizimu yetu Ina nguvu sana hakuna mchawi ataeweza kunidhuru na hata waliojaribu kunidhuru walishindwa..
Hapo nilikua kanisani!
Donatila
Mtu anaweza akawa kazi yake kutoa Hela tu ,lkn Ile role ya ubaba Hana,uwajibikaji kusimama km babaKutoa matumiz siyo?
Unavosema wanawake wanaojiweza wengi, wanaume wachache sana, unamaanisha nini? Tayana-wogUzao wa kiume umepigwa....
Jamii iliwekeza sn Kwa mtt wa kike,wakasahau kabisa kuwa mtt wa kiume ndo 'mbegu" ndo mbeba uzao wa kizazi kimoja kwenda kingine..
Matokeo ndo haya ss ,wanawake wanaojiweza wengi, wanaume wachache sn!
Kabisa kabisa love. Mungu wangu wanamuweza sasa!Na wakakusumbua sana... 😁😁
Una bahati aisee...
Mwaka 2024 lazima uhame, ukileta ukaidi Tena nakuhamisha...Mama mchungaji kazini!
Wachawi wasennge sana
Niongee nao wangapi? Wewe umeongea nao wangapi? Unajuaje hao ulioongea nao wanatosha kukupa maoni ya wanawake hao wote?Nani kakudsnganyaaa!!
Ongea nao vizuri watakwambia kuna nyakati huwa wanapitia.
Hali ni mbaya sana machumbani huko wanakolala na mito yao..
Walikuhurumia sana...Kabisa kabisa yani. Mungu wangu wanamuweza sasa!
Ana nguvu sio za kawaida
Mpaka huwa najishangaa nina nini hasa
Father or husband is responsibilities and not to feed ur children or to take care of ur wife , because everybody can feed ur children and can care of ur wife.Mtu anaweza akawa kazi yake kutoa Hela tu ,lkn Ile role ya ubaba Hana,uwajibikaji kusimama km baba
Ndo nilichomwambia sio issue ya pesa tu.Father or husband is responsibilities and to feed ur children or to take care of ur wife , because everybody can feed ur children and can care of ur wife.
Responsibilities , is where a husband can impart knowledge and wisdom to his children and wife.
To provide emotional support to his children and wife.
To prepare the decent future to his family
Etc.
Mwaka 2024 lazima uhame, ukileta ukaidi Tena nakuhamisha...
Ungejua wanavyoteseka wenyewe usiamini wanavyokuaminisha njeKwani kuolewa na kuzaa ni lazima?
Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Tayana-wog ulimaanisha such kind of husband?Father or husband is responsibilities and not to feed ur children or to take care of ur wife , because everybody can feed ur children and can care of ur wife.
Responsibilities , is where a husband can impart knowledge and wisdom to his children and wife.
To provide emotional support to his children and wife.
To prepare the decent future to his family
Etc.
Uko sawa yaan watu wanajisemea TU asiyeolewa au kuzaa ana matatizo ya kutaka mwenye kipato kikubwa au ametoaga mimba, ndugu zao hawajapitia hali hii wakajua inavyoumaKm umevuka kwenye hayo maeneo, mshukuru Mungu , ombea uzao wako!
Thus it!
Hii issue ipo kiroho zaidi ya sbb za kawaida tunazoziona!
Talk Abt kuolewa, wanaume wenyewe wako wapi?
Namaanisha wanaume ambao wanaojielewa na kusimama km mababa,wako wapi?
Tuna marioo kibao, Bado mashoga, mateja, jobless,ambao wanajitafuta!
Bado ambao wameoa wakakutana na wanawake Vimeo ,waliotoka salama na kuoa Tena wachache,wengi wamejeruhiwa wamepoteza dira kabisa!
Mkuu ombea uzao wako na watt wa wengine sbb mwisho wa siku watt wako watatakiwa kuoa/kuolewa!
Sio kusema wanaipatapata Bado tunaishi!
Itapendeza sana...Yani majina ya uhamisho January yakitoka Naomba Mungu niwepo Huku sio poa love!
Nishakamilisha process hapa nikirudi ntapitia Tamisemi Dom!
Wewe unajua?Shida hujui mwanamke kutaka mtoto ni kupenda au kulazimishwa.
Tuishie hapa. Hatuwezi kuelewana
Mtu akiolewa na kupata mtoto kitu gani huwa kinabadilika in her lifetime?Ungejua wanavyoteseka wenyewe usiamini wanavyokuaminisha nje