Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Jinamizi la kuchelewa kuzaa na kuolewa linavyotesa wanawake

Pointi yako sasa hapa ni nini Mama Mchungaji? 😳😳😳
Kwamba sbb ziko nyingi sio Kila aliyetoa hapati mtt,
Kuna waliotoa sana na Bado wanazaa tu bila shida🤷
Na Kuna sister namfaham alikuwa hata kushika hiyo mimba hajawahi alipoolewa kakaa 12 yrs ndo kapata 🤣
 
Mifano mingine ya kwenye Biblia nayo mh! Ni miujiza tu na inabakia kuwa hivyo. Ililengwa kutufundisha kitu kuhusu uwezo wa Mungu.

Sara alizaa akiwa na miaka 80 sijui. Tunapaswa kweli kuuchukulia muujiza huu literally kama kipoozeo cha wanawake lukuki waliovuka, let's say 70, kuwa wasikate tamaa na watazaa tu hata kwenye 80s kama alivyozaa Sara?

Ndiyo. Aliyezaliwa juzi Desemba 25 anatupa wote second chance...lakini pia hizo second chance zisipokuja (kama katika hii hoja tunayoizungumzia hapa) basi tusijifariji eti wakati wa Mungu haujafika wakati kumbe tunavuna tulichopanda! 🙏🏿
Hizo stories za Bible nyingi ni fix tupu.

Dr. James Kugel kaelezea vizuri sana, kisomi, katika "How To Read The Bible: A Guide To Scripture Then And Now"

 
Kama yale ma vampire ya kwenye hadithi, manyonya damu yanayotaka damu za watoto.

Yanakulazimisha uzae ili yapate damu za watoto 🤣🤣
🤣🤣🤣 ukiwa una unga unga maisha na huna watoto ndio unashauriwa upate watoto ili mteseke wote, utasikia unakula bata / unapendeza kwa sababu hauna majukunu, yani ili mradi upauke tu🤣
 
Wengine Mimba zikifika 6 months lazima zitoke mwanamke akifanikiwa kujifungua salama mtoto hafikishi miezi kadhaaa !

Wachawi sio watuuuu
 
Kuolewa na kuzaa ,je baada ya hapo kipi kitabadilika katika MAISHA yako.

Ikiwa mwanamke hana uwezo wa kiuchumi uliosimama imara asiwekeze kuzaa ilimrdi kazaa ila awekeze katika kujikomboa kwenye umasikini kwanza maana dunia ya science na technology inahitaji watu ambao ni productive . so hata Kama hauna mtoto kila kitu kina work out easily.


Tubadilike ukijua wewe ni masikini elekeza silaha zako zote katika kupambana na umasikini kwanza.


Watoto wapo mtaani wametelekezwa na baba zao wanateseka , wanasoma shule chafu dumu fagio ,wamekondeana kisa tu kulazimisha kuzaa .


Hapa duniani hakuna uhaba wa kitu chochote so wanawake wawe positive wafurahie maisha Kama lady jaydee, Mama Teresa .

Ishi katika purpose yako inatosha.
Facts
 
Kwani kuolewa na kuzaa ni lazima?

Mbona kuna wanawake wengi wanajivunia kuishi wakifanya kazi zao kwa uhuru, bila mume wala mtoto, wanapuyanga tu wanavyotaka ma vacation dunia nzima, wanajilia maisha wanavyotaka?
Hivi unafikiri Putin kutawala Urus amelazimishwa au ni mapenz yake ?
 
Imagine unalala unaota unafanya mapenzi na dada yako anaekufuata. Asubuhi ukiamka kweli umechafua shuka
Cha kushangaza tangu hapo mashine haisimami hata ile nature yenu wanaume kuwa asubuhi ni lazima mashine isimame wewe holaaaa . ile ukiona maungo fulani ya mwanamke ule msisimko ishtuke wewe holaaaa

🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!

Wachawi wasennge sana
Nasikia aga tu kama stories za vijiwen ,hiz mambo sikuwah kujua kama uchawi upo mkuu.
 
🤣🤣🤣 ukiwa una unga unga maisha na huna watoto ndio unashauriwa upate watoto ili mteseke wote, utasikia unakula bata / unapendeza kwa sababu hauna majukunu, yani ili mradi upauke tu🤣
Kuna mjamaa India aliwashitaki wazazi wake kwa kumzaa bila yeye kutoa idhini.

Labda na hawa watu wasiotaka kuzaa wanaogopa kushitakiwa na watoto wao kwa kuwazaa bila idhini zao.

 
Kuna mwamba alioa miaka ya 1997/1998 akaja akapata mtoto wa kwanza mwaka 2009.

Kipindi chote hicho kabla ya kupata mtoto wa kwanza alijaribu kuhangaika kutafuta suluhu hadi akafikia kukata tamaa na akaamua kuoa mke wa pili ili awezebkupata mtoto kupitia mke wa pili.

Lakini jamaa baada ya kuoa mke wa pili na akashoot kote kote wakapata ujauzito wote(mke wa kwanza ambaye haukuweza kupata ujauzito tangu mwaka 1997 na mke wa pili aliyemuoa kama suluhu ya kutatua shida ya kupata mtoto)

Tangu hapo jamaa akawa anazalisha kwa mkupuo wake zake wote wawili.

Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi, sisi huwa tunaweka juhudi tu.

Pia hoja ya mleta mada ni sahihi hiiki kipindi huwa kinatia sana stress kwa wanandoa, tena usiombe ukiwa unasemwa na watu hasa mawifi
Mungu alitaka kumuonyesja kuwa ye hasaidiwi🤣
Akili yake ilipoishia ndo Mungu akafanya yake
 
Dada donatila eee, hapo kwenye enibiiii ndio jibu la changamoto zote😂😂😂.

Hili la kukosa watoto kwenye ndoa kama limeegemea upande mmoja kwa nilivyoona mm,maana shida zingine chanzo n Mwanaume.
 
Kuna mjamaa India aliwashitaki wazazi wake kwa kumzaa bila yeye kutoa idhini.

Labda na hawa watu wasiotaka kuzaa wanaogopa kushitakiwa na watoto wao kwa kuwazaa bila idhini zao.

Kibongo bongo utaachiwa laana mkuu .
 
Back
Top Bottom